Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

Sijawahi kuwaelewa wahindi hata kidogo labda kidogo waarabu, Nasema nikifika level fulani ya Juu nita deal nao hawa perpendicular regardless wameshika uchumi wa nchi au lah nitatafuta approach nzuri ya kuwashughulikia haswa katika njia ambayo haita athiri community mana wameajiri thousand of people, Nitahakikisha nanyanyua Domestic investors ili washike uchumi, wahindi ni washezi na wanafanya donation kwa mataifa yao kwa siri wakati hapa kwetu hata kujenga nyumba tu hawataki nasema no matter ni Raia wa hapa ila kwa vile wanajitia ukichaa kwa kutosahau original yao basi wanahitaji kushughulikiwa haswa haswa.
Huu ndio muda unaona potential ya billionaire wazawa kama The late Reginald Mengi
 
Sawa kabisa,ila serikali nayo iwe wazi namna wanavyotumia hizi fedha za misaada wanazopewa.
Mkuu hela ya msaada inatumika kama lengo lake kusaidia watu usidhani watu wanasaidia tu na kupotea hapana hata hao kina jack ma huwa wanatuma watu kufanya background check up kuangalia how serious authorities zimetumia izo misaada kama unaona pesa itatafunwa basi nunua tangible products kama sanitizer au masks then peleka sehemu penye need,
 
Wafanyabiashara waliofanikiwa mliwaita wapigaji, mafisadi, wengine mmewaua na wengine mmewateka bahati nzuri mkaonekana ikabidi mpotezee kiaina, awamu hii hamuwataki wafanyabiashara ndo maana mnajitahidi kuua secta binafsi ili wasitokee wafanya biashara wenye ukwasi kuliko mkulu,

Sasa kwa hali hii na uchumi huu mbovu mfanyabiashara gani atatoa msaada?

Labda rostam naye amelegezewa vikwazo vya biashara pia anatumika kumsadia mtawala kujiimarisha zaidi
 
Hakuna tajiri anaye ishi kwao huyo mhindi ni msimaizi wa mirathi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Forbes nao hata huwa sielewi research zao unajua ili publicity tu ya kuwa dogo ni First billionaire nchini tayari inamfanya azidi kuvuta mpunga wakati in real sense bwana mdogo ni kama CEO wa Mirathi ya familia
 
Harafu unakuta dogo ana wajaza vijana maneno mara oh nilianza na mtaji wa laki blah blah blah
Forbes nao hata huwa sielewi research zao unajua ili publicity tu ya kuwa dogo ni First billionaire nchini tayari inamfanya azidi kuvuta mpunga wakati in real sense bwana mdogo ni kama CEO wa Mirathi ya familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao uliowataja ni level ya juu sana kuliko Mo.
Pili, usisahau siku zote. Utajiri wa Mo ni wa familia so wake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…