Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Hakuna ugumu wowote.Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
Inategemea,sisi wengine atujui kuzunguka,demu akija unamaneno ya ukweli,kazi imekwisha.
sio longo longo nyingi imeenda imerudi sijui nini,huko nikupoteza muda.
Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
Mbona mimi naona wanawake wengi ndio wananiaproach kwa vitendo? dunia imefika mbali sana ndugu yaani wewe inaonekana unaishi karne ya 18. mbona hata humu watu wanatongozana kwa kutumia keyboard? wake up kijana!Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
ujakosea viv uwa tunakuja vile vile lakni ujue kuna gal wa kumtongoza fasta na mwingne lazma umvutie kasi kama anaelekea.ndo maana kuna watu wanaexprience na vibuti na wengne awajazoea.na mara nying ukiona mwanaume amfahamian na anakuaproch ujue hapo hakuna strong relationshp ni njia ya kuku2mia kutmiza ngono tu.Mbona wote huwa mnakuja kivile vile?Kuomba No. ya simu, Hapo mnaanza kupiga simu zisizo za msingi. mara karibu Lunch na blah blah Nyingiiii.
Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
ihi formula inaaply sana maeneo ya kimboka ni take away or lipa kadri ya uwezo wako.Hakuna juhudi yoyote inayotumika ku approach demu. Ni kama vile kujitayarisha ulaji wa Lunch
Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
pole xana ila always hater are loose.kip it up pambana na mahsha siku moja utafanikiwa bali usikubali zip 2 mwanzonsijui kama maneno na mbwebwe zao zipo sawa maana mie nakumbana na hunters tu