tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
usijidanganye wewe, kupata namba ya simu ni suala moja, waweza ifuta mwenyewe kimyakimyaIlikuwa zamani wakati wa mannual search,sasa hivi ukipata no. yake ya simu,kwisha habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usijidanganye wewe, kupata namba ya simu ni suala moja, waweza ifuta mwenyewe kimyakimyaIlikuwa zamani wakati wa mannual search,sasa hivi ukipata no. yake ya simu,kwisha habari.
hahaaaa Vivian umenfurahsha sana, mimi huwa naenda straight to the point kwakuogopa kucholeka kwa demuMbona wote huwa mnakuja kivile vile?Kuomba No. ya simu, Hapo mnaanza kupiga simu zisizo za msingi. mara karibu Lunch na blah blah Nyingiiii.
Ilikuwa zamani wakati wa mannual search,sasa hivi ukipata no. yake ya simu,kwisha habari.
inategemeana, kama wengine walivyosema.. huyo mwanamke unamuhitaji unamuhitaji kwa kumtumia fasta au ndo mke. kama mke ina maana lazima approach yake iwe tofauti na kicheche. Huwezi muambia oyaa ni nataka nit%$#^ne na wewe ila kicheche poa tu unaropoka tu kwamba hata akikataa huna hasara. Mke mtarajiswa lazima umuendee kwa stepu manake ukifanya hovyo akikuchomoka roho itakuuma na mbaya zaidi ukiona mwenzako kampata
musimo jr..,mwanaume amegawanyika sehemu 3;mtoto,(mvulana/kijana) na mtu mzima(mwanaume)..,hivyo mwanaume huwa hasumbuliwi na mambo haya..,taabu iko kwa vijana 'sharobaro' ambao hudhani kutongoza ni lazima uwe na sim nzuri,gari,lap top,shati ya kuazima,au kusema yeye ni mtoto wa mbunge flan na kujiongezea mausumbufu yasiyo maana...mwanaume anasomesha jinsi alivyooo...angalia wauza samaki na shombo zao lkn 'wabayaa!'
hatakapo sikia bf wake katangaza ndoa na gal mwingnena wakati mgumu kwa mwanamke mi upi?
Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
Mbona wote huwa mnakuja kivile vile?
Kuomba No. ya simu, Hapo mnaanza kupiga simu zisizo za msingi. mara karibu Lunch na blah blah Nyingiiii.