Wakati mkiongea ya Germany,Diamond anafanya aya South Africa

Du nimemkuta dogo palestina hospitali kaja kutibiwa majeraha ya ujerumani kumbe chupa zilimpata bwana maskini na mama ubaya kakataa kumkanda

Nini kumkanda?kakataa pia hiyo issue haijui....
 
Sidhani kama Diamond amefikia hatua ya kuitwa nguli. Hii ni mapema sana mkuu kumpa hii hadhi.

Kwa Tanzania hii, nguli wa muziki, kwa uchache naweza kutaja, Bi Kidude, mzee Ngurumo n.k

Nguli ni mtu ambaye amefanya jambo fulani kwa ufanisi katika kipindi kirefu sana bila kuacha/kupumzika.

Diamond hana hata miaka 10 toka aanza kuvuma/kusikika.

Diamond yuko katika economic growth, bado hajafikia econimic development.

Nakaribisha masahihisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…