Wakati mtanange kati ya mahasimu England dhidi ya Iran ukiendelea TBC wanagonga mirindimo ya pwani

Eti aso hili ana lile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TBC hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aso hili ana lile.

Nimecheka hatari sana.
 
Ustuambie mambo ya sijui Dstv wakati tuna Tv tanayoilipia kwa kodi zetu lakini wao wanafanya kazi za ccm tu. Takataka kabisa.
ukiwa huna pesa utateseka sana duniani
 
ukiwa huna pesa utateseka sana duniani
Ndio dunia ilivyo na hao wenye pesa ni asilimia ndogo sana ya watu wote duniani na la sivyo Tv zote zingekuwa za kulipia kusingekuwa na FTA Channels.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…