Wakati mwingine mijini tunachelewa, hivi unajua vijijini unaweza ukapata shamba hata kwa 30000?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wewe kama una laki tano au milioni, na ukiona maisha ya mjini hayaeleweki, nenda shamba. Huko jifanye huna kitu. Watu wana mashamba huko hayapotei, unaweza kupewa hata bure ulisafishe na ulime.

Shamba mwaka wako mmoja tu, eka 10 ukilima mbaazi, mahindi, mjomba umetoka mixer na vibiashara na kanyumba aisee unaishi kiboss.

Mabonde yapo mengi sana, tafuta masela, walimishe, wavutishe, waleweshe, walishe ugali. Jifanye kama fala mwaka wako mmoja tu.
 
Ingefaa kama ungetuletea kama ushuhuda wa wewe kufanya hivyo ili tuhamasike zaidi.

Yasije kuwa yale ya bwana Ontario.
 
Tatizo kijijini dah jau sana. Ndege John ndio unaongoza kwa kukutana na wanya pori wengi bila kwenda National Park.
Kama rondo plateu Kule ndovu ndo nyumbani kwao walipita wanne nilivokuja kuonyeshwa nikajua kifaru kimepita kumbe Mpaka minazi wanazivunja kama vijiti
 
Mh? Kijijini tena? Aende nani?
 
Hii ni kweli kabisa,mashamba haya yapo huku nyakayodwa ukiwa unaeelekea runzewe
 
Shamba la afu 30, la bangi au?
Vijana wa sasa wanataka wakute mazibgira mazuri tu ya kutafuta mkate. Lakini hawajui wao ndo wenye nchi na wanawajibu wa kwenda huko kijijini ama kubaki kijijinj na kupambana kisawa sawa mpaka kieleweke.Mm nashukuru wazazi wangu sama na Mungu azidi kuwabariki maana km kulima naweza tena sio mchezo nikiingia shamba km punda kazi kazi.Sasa ww unataka uende ukalime unataka ukute nani kasafisha km sio ww ndo maana wasukuma tumesambaa huko kwenye mikoa na vijijini kwenu tunapiga jembe na wala hatulalamiki tunapiga pesa tu
 
Duh pole sana Mkuu, Maisha ni kuchagua.
 
Online Agriculture!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…