Wakati mwingine mijini tunachelewa, hivi unajua vijijini unaweza ukapata shamba hata kwa 30000?

Wakati mwingine mijini tunachelewa, hivi unajua vijijini unaweza ukapata shamba hata kwa 30000?

Umesema jambo la maaana sana, unakutana na mtu anateseka mjini wakati anaweza kwenda mahali na mbegu tu za pili pili na maisha yake yakawa mazuri
 
Wewe kama una laki tano au milioni, na ukiona maisha ya mjini hayaeleweki, nenda shamba. Huko jifanye huna kitu. Watu wana mashamba huko hayapotei, unaweza kupewa hata bure ulisafishe na ulime.

Shamba mwaka wako mmoja tu, eka 10 ukilima mbaazi, mahindi, mjomba umetoka mixer na vibiashara na kanyumba aisee unaishi kiboss.

Mabonde yapo mengi sana, tafuta masela, walimishe, wavutishe, waleweshe, walishe ugali. Jifanye kama fala mwaka wako mmoja tu.
Hayo mashamba ya 30k, nenda ukalime uone kama unatoboa. Watu sio wajinga kuuza ardhi bei rahisi hivyo. Nina uzoefu wa mashamba, Handeni Tanga. Unazika hela tu mwaka hadi mwaka kumbe wenzako wanakucheka tu pembeni. Hizo Ardhi zina thamani kama unajikusanyia tu badae uje ufuge na kupata sehemu ya kulima for chakula ila kama ni kilimo cha kutoboa, SAHAU.
 
Back
Top Bottom