Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Hivi mpwa, ulimpa nini huyo kijana? Mbona anashindwa kukusahau? 😅umeanza,,, vipi lakin unaendleaj dear ex😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mpwa, ulimpa nini huyo kijana? Mbona anashindwa kukusahau? 😅umeanza,,, vipi lakin unaendleaj dear ex😊
Mjomba shikamoo😀Tulia 😅
hongera sana😊Niko poa kabisa I am so happy today 😀 hata nishasahau maumivu ya kuachwa
zimefika mjomba, shaka ondoa 😊🤗Zimefika ☺️☺️.
Fikisha na zangu, kuleee.
yani najuta kwanini nilimpa mjomba, maana kaniganda mno sipumui😐Hivi mpwa, ulimpa nini huyo kijana? Mbona anashindwa kukusahau? 😅
yani najuta kwanini nilimpa mjomba, maana kaniganda mno sipumui[emoji52]
TAPELI
Hivi mpwa, ulimpa nini huyo kijana? Mbona anashindwa kukusahau? [emoji28]
Vijana mwala Fissi mkidhani wahaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12]
Biashara ya kale
...
Masuala ya kunyweshana CHAI jioni jioni nayo, daah! Hadi yanaboa kabisa.
Sasa we lucy mbona umejiita jose wakati ni jina la kiume?
Kama walipata utamu shida nini?