Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Wandugu; ukisoma taarifa kutoka nchi mbali mbali utakutana na habari zinazoelezea hatua zinazochukuliwa na serikali za nchi zao kupunguza makali ya athari za corona.
Hebu jisomee hapa:
Sasa rudi hapa kwetu, umesikia habari yeyote ya kujaribu kusaidia sekta binafsi ili zisife? Arusha ambayo kwa kiwango kikubwa sana sana inategemea biashara ya utalii sasa hivi imesimama kiuchumi na anguko lake halipo mbali. Lakini pamoja na ukweli huo, TRA wanalazimisha kampuni zijikadirie kuwa zitapata faida mara mbili au tatu kulinganisha na mwaka jana!
Serikali ya jiwe ijiandae, mwezi May huu ujao wakiweza kukusanya angalau 20% ya VAT na 10% ya PAYE/SDL kulinganisha na walichokusanya mwezi wa February mwaka huu wafanye sherehe kujipongeza.
Hebu jisomee hapa:
- How countries are deploying stimulus packages in the fight
- Malaysia Issues Second Stimulus Package to Combat COVID-19: Salient Features
- Clothing makers in Asia give stark virus warning
Sasa rudi hapa kwetu, umesikia habari yeyote ya kujaribu kusaidia sekta binafsi ili zisife? Arusha ambayo kwa kiwango kikubwa sana sana inategemea biashara ya utalii sasa hivi imesimama kiuchumi na anguko lake halipo mbali. Lakini pamoja na ukweli huo, TRA wanalazimisha kampuni zijikadirie kuwa zitapata faida mara mbili au tatu kulinganisha na mwaka jana!
Serikali ya jiwe ijiandae, mwezi May huu ujao wakiweza kukusanya angalau 20% ya VAT na 10% ya PAYE/SDL kulinganisha na walichokusanya mwezi wa February mwaka huu wafanye sherehe kujipongeza.