peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
HAKUNA HAKI BILA WAJIBU
Napenda kuwakumbusha wana JF Hususani wadau wa BIZ kuwa nchi yetu ina fursa nyingi sana.
Ni wakati sasa wa kuzitumia.
Baada ya kuhudhuria semina nyingi, warsha, makongamano, midahalo za ujasiliamali nimegundua kuwa fursa zilizopo zimegeuka kuwa sehemu ya kutafutia posho na uandaaji wa maneno matamu na haupo katika utendaji.
Naomba wana JF wa foruma hii tutumie fursa zilizopo kwani ni nyingi haiitaji kwenda semina ili kuzifahamu.
1.KILIMO
kwa sasa unaweza kuanza kilimo cha matunda mfano Maembe ya kisasa yanatumia miaka mitatu anza na ACRE1 baada ya miaka 3 utaona matunda yake. mradi huu hauna gharama sana
Biashara ya juice kwani kuna matunda mengi yanaoza,unahitaji kutafuta eneo zuri na kuanza kwani DAR kuna joto na inanyweka sana
2.UFUGAJI
waweza anza kufuga kuku wa kienyeji wachache na baadae ukaongeza taratibu inategemea na jinsi ya kuwa manage, unaweza kutengeneza chicken butcher au egg house ukauza kwa jumla na reja reja.
3.USAMBAZAJI
kama gari waweza ingia mkataba na kampuni za uzalishaji ukaanza kusambaza bidhaa zao kwa wateja inalipa sana
4.COURRIER
unaweza kununua baiskeli au piki piki ukaanza biashara ya house delivery; kwa kununua bidhaa na kupeleka majumbani kwa watu;hii unaweza anza nayo hata hapa JF kwa kutoa namba za simu na location. pia unaweza uka modify kidogo hata kupokea mizigo kwenye magari na kupeleka.
5.REAL ESTATE.
kama huna mtaji mkubwa waweza anza na kununua kiwanja una sajili kisha unauza kwa faida na unaongeza idadi ya viwanja na baadae utaanza na ujenzi pia.
Biashara ni nyingi na fursa zimejaa tuanze kuzitumia.
MY TAKE.
Wana JF wa BUSINESS FORUM ni wakati wa kila mmoja wetu kuanzisha biashara yake ni tuwe na jadili jinsi ya kukuwa na kukabili changamoto. tuache kufikiria biashara za mitaji mikubwa ambayo hatuna tufikirie biashara za mitaji midogo ambayo tunayo kwa sasa.
Mimi nimeanza natarajia na wewe utaanza.
START TODAY SUCCESS IS WAITING FOR YOU!
Napenda kuwakumbusha wana JF Hususani wadau wa BIZ kuwa nchi yetu ina fursa nyingi sana.
Ni wakati sasa wa kuzitumia.
Baada ya kuhudhuria semina nyingi, warsha, makongamano, midahalo za ujasiliamali nimegundua kuwa fursa zilizopo zimegeuka kuwa sehemu ya kutafutia posho na uandaaji wa maneno matamu na haupo katika utendaji.
Naomba wana JF wa foruma hii tutumie fursa zilizopo kwani ni nyingi haiitaji kwenda semina ili kuzifahamu.
1.KILIMO
kwa sasa unaweza kuanza kilimo cha matunda mfano Maembe ya kisasa yanatumia miaka mitatu anza na ACRE1 baada ya miaka 3 utaona matunda yake. mradi huu hauna gharama sana
Biashara ya juice kwani kuna matunda mengi yanaoza,unahitaji kutafuta eneo zuri na kuanza kwani DAR kuna joto na inanyweka sana
2.UFUGAJI
waweza anza kufuga kuku wa kienyeji wachache na baadae ukaongeza taratibu inategemea na jinsi ya kuwa manage, unaweza kutengeneza chicken butcher au egg house ukauza kwa jumla na reja reja.
3.USAMBAZAJI
kama gari waweza ingia mkataba na kampuni za uzalishaji ukaanza kusambaza bidhaa zao kwa wateja inalipa sana
4.COURRIER
unaweza kununua baiskeli au piki piki ukaanza biashara ya house delivery; kwa kununua bidhaa na kupeleka majumbani kwa watu;hii unaweza anza nayo hata hapa JF kwa kutoa namba za simu na location. pia unaweza uka modify kidogo hata kupokea mizigo kwenye magari na kupeleka.
5.REAL ESTATE.
kama huna mtaji mkubwa waweza anza na kununua kiwanja una sajili kisha unauza kwa faida na unaongeza idadi ya viwanja na baadae utaanza na ujenzi pia.
Biashara ni nyingi na fursa zimejaa tuanze kuzitumia.
MY TAKE.
Wana JF wa BUSINESS FORUM ni wakati wa kila mmoja wetu kuanzisha biashara yake ni tuwe na jadili jinsi ya kukuwa na kukabili changamoto. tuache kufikiria biashara za mitaji mikubwa ambayo hatuna tufikirie biashara za mitaji midogo ambayo tunayo kwa sasa.
Mimi nimeanza natarajia na wewe utaanza.
START TODAY SUCCESS IS WAITING FOR YOU!