ZENJIBARIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 674
- 1,621
jamani naomba kupata mawazo yenu
kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia zetu wenyewe sio kutoka ya vitabuni na science,tujaribu kusoma mpaka mwisho
ninaposema wakati sikusudii zamani leo na kesho na muda ujao(future) wala sikusudii asubuhi jiona ,saa saba mchana na saa saba usiku
masaa tunayohesabu,siku miezi na miaka ni vipimo tulivyojiwekea wenyewe ili kujua wapi tupo na muda gani,vipimo hivi vimewekwa kutokana na umbile na mazingira ya dunia yetu kama kila mwezi ni kwa muandamo wa mwezi ambao unakuwa na siku 30 hapo ndio tunapata mwezi,na siku tunaipata jua linapochomoza na kupata masaa 12 ya mwangaza wa mchana na kuzama na usiku kuingia kwa masaa 12 hio ndio tunapata siku moja,
vitu vyote hivi ni wakati (time) mchana usiku,mwezi,siku na miaka karne na vingekuwepo hata kama hatuvipimi na kuvipa majina,mwezi ungekuwa unaandama,jua linatoka na usiku unaingia milele na milele
sasa hapa ndio nataka kujua,kama tunaupima au hatuupimi, wakati ni kitu gani?
my take/ na hizi ni fikra zangu mwenyewe sio za vitabuni
1)time is timeless,wakati ni milele na hauna uhusiano wowote na mchana, usiku, mwezi na miaka,
2)time is the whole existance we are in,miaka 1000 iliyopita,sasa hivi na miaka 1000 baadae vyote vipo katika existance moja yaani vyote vinatokea katika wakati mmoja,kinachobadilika ni mazingira na watu tu lakini existance ipo vile vile,wakati haukimbii miaka ilopita wala haiendi mbele kuifata miaka ya baadae.
kwa maana sisi tunavyohesabu siku kama jana au juzi tunahisi kama ni vitu vilivyopita lakini hivi vitu vinatokea katika wakati uliopo tu(present),
tuchukulie kwa mfano
siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present
sisi kama binadamu na vieumbe vyengine tunaingia ndani ya wakati tunapozaliwa na tunauwacha na kuupita wakati tunapokufa,na kwa hesabu zetu tulizojipangia kuuhesabu wakati tunaweza kuishi katika wakati kwa siku chache au miaka mia lakini wakati haubadiliki upo tu kama ulivyoukuta ndivyo unavyouwacha
3)time is only present, wakati ni uliopo sasa tu ,jana juzi mwaka jana miaka ijayo ni hisia na mabadiliko yetu sisi binadamu tu.
kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia zetu wenyewe sio kutoka ya vitabuni na science,tujaribu kusoma mpaka mwisho
ninaposema wakati sikusudii zamani leo na kesho na muda ujao(future) wala sikusudii asubuhi jiona ,saa saba mchana na saa saba usiku
masaa tunayohesabu,siku miezi na miaka ni vipimo tulivyojiwekea wenyewe ili kujua wapi tupo na muda gani,vipimo hivi vimewekwa kutokana na umbile na mazingira ya dunia yetu kama kila mwezi ni kwa muandamo wa mwezi ambao unakuwa na siku 30 hapo ndio tunapata mwezi,na siku tunaipata jua linapochomoza na kupata masaa 12 ya mwangaza wa mchana na kuzama na usiku kuingia kwa masaa 12 hio ndio tunapata siku moja,
vitu vyote hivi ni wakati (time) mchana usiku,mwezi,siku na miaka karne na vingekuwepo hata kama hatuvipimi na kuvipa majina,mwezi ungekuwa unaandama,jua linatoka na usiku unaingia milele na milele
sasa hapa ndio nataka kujua,kama tunaupima au hatuupimi, wakati ni kitu gani?
my take/ na hizi ni fikra zangu mwenyewe sio za vitabuni
1)time is timeless,wakati ni milele na hauna uhusiano wowote na mchana, usiku, mwezi na miaka,
2)time is the whole existance we are in,miaka 1000 iliyopita,sasa hivi na miaka 1000 baadae vyote vipo katika existance moja yaani vyote vinatokea katika wakati mmoja,kinachobadilika ni mazingira na watu tu lakini existance ipo vile vile,wakati haukimbii miaka ilopita wala haiendi mbele kuifata miaka ya baadae.
kwa maana sisi tunavyohesabu siku kama jana au juzi tunahisi kama ni vitu vilivyopita lakini hivi vitu vinatokea katika wakati uliopo tu(present),
tuchukulie kwa mfano
siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present
sisi kama binadamu na vieumbe vyengine tunaingia ndani ya wakati tunapozaliwa na tunauwacha na kuupita wakati tunapokufa,na kwa hesabu zetu tulizojipangia kuuhesabu wakati tunaweza kuishi katika wakati kwa siku chache au miaka mia lakini wakati haubadiliki upo tu kama ulivyoukuta ndivyo unavyouwacha
3)time is only present, wakati ni uliopo sasa tu ,jana juzi mwaka jana miaka ijayo ni hisia na mabadiliko yetu sisi binadamu tu.