Wakati ni kitu gani? what is time?

Wakati ni kitu gani? what is time?

Kaka c tumeambiwaa tufikilie sisi tusitumie vitabu use ur brain kuexplain wakati ni nn
 
jamani naomba kupata mawazo yenu

kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia zetu wenyewe sio kutoka ya vitabuni na science,tujaribu kusoma mpaka mwisho

ninaposema wakati sikusudii zamani leo na kesho na muda ujao(future) wala sikusudii asubuhi jiona ,saa saba mchana na saa saba usiku

masaa tunayohesabu,siku miezi na miaka ni vipimo tulivyojiwekea wenyewe ili kujua wapi tupo na muda gani,vipimo hivi vimewekwa kutokana na umbile na mazingira ya dunia yetu kama kila mwezi ni kwa muandamo wa mwezi ambao unakuwa na siku 30 hapo ndio tunapata mwezi,na siku tunaipata jua linapochomoza na kupata masaa 12 ya mwangaza wa mchana na kuzama na usiku kuingia kwa masaa 12 hio ndio tunapata siku moja,

vitu vyote hivi ni wakati (time) mchana usiku,mwezi,siku na miaka karne na vingekuwepo hata kama hatuvipimi na kuvipa majina,mwezi ungekuwa unaandama,jua linatoka na usiku unaingia milele na milele

sasa hapa ndio nataka kujua,kama tunaupima au hatuupimi, wakati ni kitu gani?

my take/ na hizi ni fikra zangu mwenyewe sio za vitabuni

1)time is timeless,wakati ni milele na hauna uhusiano wowote na mchana, usiku, mwezi na miaka,
2)time is the whole existance we are in,miaka 1000 iliyopita,sasa hivi na miaka 1000 baadae vyote vipo katika existance moja yaani vyote vinatokea katika wakati mmoja,kinachobadilika ni mazingira na watu tu lakini existance ipo vile vile,wakati haukimbii miaka ilopita wala haiendi mbele kuifata miaka ya baadae.

kwa maana sisi tunavyohesabu siku kama jana au juzi tunahisi kama ni vitu vilivyopita lakini hivi vitu vinatokea katika wakati uliopo tu(present),

tuchukulie kwa mfano
siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present

sisi kama binadamu na vieumbe vyengine tunaingia ndani ya wakati tunapozaliwa na tunauwacha na kuupita wakati tunapokufa,na kwa hesabu zetu tulizojipangia kuuhesabu wakati tunaweza kuishi katika wakati kwa siku chache au miaka mia lakini wakati haubadiliki upo tu kama ulivyoukuta ndivyo unavyouwacha

3)time is only present, wakati ni uliopo sasa tu ,jana juzi mwaka jana miaka ijayo ni hisia na mabadiliko yetu sisi binadamu tu.View attachment 535046 View attachment 535047

siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present

Sio jua lisimame ni dunia isijizungushe mhimilini mwake na kuzunguka jua
 
siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present

Sio jua lisimame ni dunia isijizungushe mhimilini mwake na kuzunguka jua

mkuu mimi nimeweka jua lisimame kwa sabab mimi siamini kuwa dunia ndio inazunguka jua,mi naamini jua,mwezi,nyota na sayari zote ndio zinazunguka dunia,wala siamini kabisa kuwa dunia ni kama chungwa,mi naamini dunia haina mwisho wala sio duara.wala mi siamini kama kuna muhimili wa dunia na pia siamini kuwa jua na mwezi vipo mbali ni vitu naviona vipo ndani ya wingu la buluu na sio nje.

nlikuwa najaribu kuufikiria wakati ni kitu gani kwa mitazamo tafauti na sio wakati huo wa space and time tunaofundishwa,nlitaka kujua wakati kwa maana ya existance yote na wakati wake,na nikisema exisitance namaanisha kuwa mtoto mchnga akizaliwa anaingia kwenye hii existance na mtu akifa anaondoka
 
mkuu mimi nimeweka jua lisimame kwa sabab mimi siamini kuwa dunia ndio inazunguka jua,mi naamini jua,mwezi,nyota na sayari zote ndio zinazunguka dunia,wala siamini kabisa kuwa dunia ni kama chungwa,mi naamini dunia haina mwisho wala sio duara.wala mi siamini kama kuna muhimili wa dunia na pia siamini kuwa jua na mwezi vipo mbali ni vitu naviona vipo ndani ya wingu la buluu na sio nje.

nlikuwa najaribu kuufikiria wakati ni kitu gani kwa mitazamo tafauti na sio wakati huo wa space and time tunaofundishwa,nlitaka kujua wakati kwa maana ya existance yote na wakati wake,na nikisema exisitance namaanisha kuwa mtoto mchnga akizaliwa anaingia kwenye hii existance na mtu akifa anaondoka

Mkuu napinga kwa hoja hizi

Kipindi meli inakuja(visibility of ship) inakuja kama kitu kinapanda majini mchomoko
Kuonyesha inafuata mzunguko wa dunia

Pia ukiangalia anga letu lionyesha kama kifuniko Fulani kama nusu kimetufunika kuashiria tabaka la chini ni duara

Je umeona ndege kipindi inapotelea inaonekana kama inatua kumbe unafuata mzunguko wa dunia kama ingekua flati ungeona inaenda mnyooko tu??

Kama dunia inazungukwa na jua usiku jua liko wapi?
Au linazimika
Hapana linakuwa upande wa pili wa dunia duara kivuli hutupwa upande wa pili hivyo dunia ni duara
Na huzunguka jua

Pia picha za earth from space zinaonyesha umbile la dunia
Bila kusahau Google earth hizo ni miongoni
Asante mkuu wangu
 
Wakati si kitu chochote, wakati unaonekana kutokea pale vitu vinapopishana mwendo. Ukisimamisha vitu vyote, utasimamisha wakati.

Wakati ni kama mawimbi yanayotokea katika maji ukirusha jiwe kwenye maji.Ukiondoa maji,huwezikuwa na mawimbi.

In fact,huhitaji hata kusimamisha vitu vyote ili kusimamisha wakati.

Ukiweza kwenda at the speed of light, wakati unasimama.

Ukiipita speed of light, wakati unarudi nyuma.

Lakini huwezi.Kitu chochote chenye mass, hata ndogo vipi,hakiwezi kufikia speed of light, kwa sababu kitakuwa na infinite mass and zero space, that is a singularity.

Ila, photons za mwanga na electromagnetic particles nyingine nyingi zinakwenda kwa speed of light.

Kwa mujibu wa hizo particles, ulimwengu hauna wakati, wakati uliopita, uliopo na ujao wote upo pamoja.

Ukisoma Einstein's Relativity haya mambo yameelezewa vizuri sana.
Kulikua na mtu anaitwa Kiranga pia... @monstagla Eiyer sijui kama bado humu

mkuu tufafanulie hii theory kwa lugha rahisi asee,kama utaweza utakua umesaidia sana kupanua ubongo wa wengi na mimi nikiwemo ,nimeshajaribu kujifunza hii kitu ila haya mambo ni magumu kueleweka bila mifano rahisi

"infinite mass and zero space, that is a singularity" singularity ndio nini ?..kulingana na einstern mwenyewe,yeye ndo alileta taharuki duniani kwa kusema mwanga una uzito,kwa maana ya electrons zina mass
9.10938356 × 10-31 kilograms sasa inakuaje hapo ?

Hio singularity na speed of light muda unaenda kinyume sijaelewa kabisa,Eiyer

Mkuu Kiranga popoe ulipo tunakuomba ukuje kututoa tongotongo pindi upatapo nafasi,nakumbuka nishawahi kukuletea ombi binafsi zamani kidogo
 
Mkuu napinga kwa hoja hizi

Kipindi meli inakuja(visibility of ship) inakuja kama kitu kinapanda majini mchomoko
Kuonyesha inafuata mzunguko wa dunia

Pia ukiangalia anga letu lionyesha kama kifuniko Fulani kama nusu kimetufunika kuashiria tabaka la chini ni duara

Je umeona ndege kipindi inapotelea inaonekana kama inatua kumbe unafuata mzunguko wa dunia kama ingekua flati ungeona inaenda mnyooko tu??

Kama dunia inazungukwa na jua usiku jua liko wapi?
Au linazimika
Hapana linakuwa upande wa pili wa dunia duara kivuli hutupwa upande wa pili hivyo dunia ni duara
Na huzunguka jua

Pia picha za earth from space zinaonyesha umbile la dunia
Bila kusahau Google earth hizo ni miongoni
Asante mkuu wangu

mkuu hivi vitu uloongea hapa ni mafundisho tu lakini uhalisi haupo hivo

kuna nyuzi hapa nilichangia mambo mengi sana kuhusu dunia na hali halisi ilivyo hebu zipitie hizi nyuzi mbili utaona michango yangu mingi kuhusiana na hili jambo jaribu kusoma kila kitu

Kitambue chombo VOYAGER 1

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu
 
Back
Top Bottom