Wakati Rais anaongoza, wao wanamkejeli anafanya comedy?

Wakati Rais anaongoza, wao wanamkejeli anafanya comedy?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nahisi huu uzi utafutwa. Napata tu hizo hisia kutokana na mwenendo wa JF miaka hii.

Vijana wanamwona Rais anafanya comedy. Imenifikirisha sana. Sisi tunachukulia serious wao wanaona ni comedy.

Screenshot_2025-02-23-07-31-07-073_com.instagram.android~2.jpg
Screenshot_2025-02-23-08-31-21-297_com.whatsapp~2.jpg
 
Nahisi huu uzi utafutwa. Napata tu hizo hisia kutokana na mwenendo wa JF miaka hii.

Vijana wanamwona Rais anafanya comedy. Imenifikirisha sana. Sisi tunachukulia serious wao wanaona ni comedy.

View attachment 3246030View attachment 3246031
Kama kwako anavyoongoza SASHA si comedy basi hata huu uzi wako ni comedy.
-Katiba ni comedy
-Kauli(majibu) ya viongozi ni comedy
-Chama tawala ni comedy
-Polisi ni comedy
-TISS ni comedy
-Raia wa kawaida ni comedy
-Chawa ni comedy
-Opposition parties ni comedy
-
-
Yaani nchi na maisha ya Watanzania kwa ujumla wake vimekuwa ni novela ya comedy.
 
Back
Top Bottom