Wakati Rais anaongoza, wao wanamkejeli anafanya comedy?

Nahisi huu uzi utafutwa. Napata tu hizo hisia kutokana na mwenendo wa JF miaka hii.

Vijana wanamwona Rais anafanya comedy. Imenifikirisha sana. Sisi tunachukulia serious wao wanaona ni comedy.

View attachment 3246030View attachment 3246031
Kama kwako anavyoongoza SASHA si comedy basi hata huu uzi wako ni comedy.
-Katiba ni comedy
-Kauli(majibu) ya viongozi ni comedy
-Chama tawala ni comedy
-Polisi ni comedy
-TISS ni comedy
-Raia wa kawaida ni comedy
-Chawa ni comedy
-Opposition parties ni comedy
-
-
Yaani nchi na maisha ya Watanzania kwa ujumla wake vimekuwa ni novela ya comedy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…