Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hata wafungwa wa federal government Rais hafanyi hiyo kazi ya kusaini wanyongwe, anayeidhinisha ni mwanasheria mkuu. Rais anaweza kutoa msamaha kutonyongwa kama akijisikia.
We ndio hujui,kuna wafungwa wamehukumiwa na federal government na waliohukumiwa na state governments.hao wanaoidhinishwa kunyongwa na magavana walihukumiwa na state governments.