Wakati RC Mtaka anapambana wanafunzi wasome kupitia mtandao, RC Makonda anapambana na Wabunge

Wakati RC Mtaka anapambana wanafunzi wasome kupitia mtandao, RC Makonda anapambana na Wabunge

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
Ni jambo la kisikitisha sana RC wa Dar es Salaam kutoona umuhimu wa elimu kwa watoto katika kipindi hiki cha mlipuko wa Corona na kudakia mambo ya wabunge yasiyomhusu.

RC Mtaka anapambana watoto wasome online kipindi hiki, huku RC DSM anapoteza muda mwingi katika media kwa mambo yasiyo ya msingi kwa mwananchi.

Miradi ya maendeleo hakuna kinachofanyika maana mpaka leo watoto wanakaa chini mfano Msakuzi shule ya msingi. Barabara ya Jangwani kila kukicha malori magreda yanasomba mchanga ulioziba njia gharama kubwa sana inatumika na hajapata suluhu ya kudumu kupunguza gharama.

Rais Tunakuomba utuondolee huyu RC hana afanyalo Dar es Salaam.
 
Kwa bahati mbaya tuna Rais ambaye anajua kila kitu hivyo kuhusu ushauri wako wa kumuondoa RC wa dar hilo sahau kabisa..kuhusu hoja yako kumhusu hyo bashite ni kwamba yeye mwenyewe elimu ilimshinda na kuzungusha ziro unategemea leo awe na uchungu kuhusu watoto wa wengine!! Maana anajua wakiwa na ufahamu ni hatari kwa nafasi yake.
 
Haya mambo ya kusoma kupitia tv , wanafunzi watakao faidika ni wachache
 
Akili za Bashite zimekimbilia kwenye Makalio yake. Usitegemee Jitu lililopata 0 na linalotegemea Ushirikina lihamasishe watoto wasome, kazi yake ni kuhamasisha wasanii wenzie tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom