We ni jinga kabisa kwani Ronaldo ana miaka mingapi?and how sure angechukua?Ushajiuliza CR7 angeanzia hapo la liga angekuwa nazo hizo ngapi?
Acha kutoa mifanoya kipuuuzi mkuu
Kwa sababu amechukua tena na uzee wake mbele ya kijanaWe ni jinga kabisa kwani Ronaldo ana miaka mingapi?and how sure angechukua?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siwezi kuwa kijana milele ila siwez kuolewaWewe huyo. Hata Hii comment yako inaonesha viashiria vya chuki.
Naona utakuwa kijana milele[emoji12] [emoji12] [emoji115]
Huu ndio mfano wa kipuuzi kuwahi kutokea kwani hyo miaka takribani 8 aliyochezea La Liga Kaambulia mataji mangapi ya La Liga?Ushajiuliza CR7 angeanzia hapo la liga angekuwa nazo hizo ngapi?
Acha kutoa mifanoya kipuuuzi mkuu
mkuu nieleweshe kirefu cha TBE au unamaanisha ni TuberculosisChuki binafsi Mkuu huyu ndio TBE kwangu
weka mbali na maPungaHuyu ndiye Messi:
King Messi only can do all these in one year:
Tuone mwaka huu MkuuKing CR7 only can take all these in one year
View attachment 459406
Sawa mkuu, najua mwaka huu utakuwa bora kwa Messi.Tuone mwaka huu Mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]weka mbali na maPunga
Mmoroko hahawai kuwa Bora kuliko MessiHalafu watu wanatokwa povu tu, lazima mkubali kuwa Ronaldo amekuwa bora kuliko Messi, next time Messi akiwa bora hatuna budi kumsifia.
Cristiano Ronaldo kacheza ligi ngapi? Na lini kajiunganga na La liga?Bora umemaliza kila kitu
View attachment 459225
Correction Ronaldo alianzia sporting Lisbon, kuhusu Messi amecheza the best team in the world for about two decades now katika hayo mafanikio % kubwa juna la Messi lipoCristiano Ronaldo kacheza ligi ngapi? Na lina kajiunganga na La liga?
Au naye aanze kuhesabu tangu alikotoka na mataji aliyobeba? Cristiano Ronaldo ni jasiri,he showed that he can take risks kwa kuhama toka club ndogo ya Porto kwenda club kubwa yenye wachezaji mahiri na mashuhuri na kushaini na baadae tena kuhamia club kubwa,mashuhuri na tajiri zaidi yenye records za kipekee za wachezaji mahiri pia nako ame-standout na kuonyesha ubora zaidi kwa kupata mataji zaidi.
Messi ni mchezaji mahiri kama alivyo Arsene Wenger au Pep Guadiola. Pep Guadiola alifanikiwa sana alipokuwa Barcelona kiasi kwamba kila mtu na kila team iliamini huyo ndio kocha bora kabisa duniani bila kuzingatia kwamba yuko pale kwa muda gani. Nina hakika hawa watu wakipata changamoto mpya ndio kitakuwa kipimo kizuri cha kuujua umahiri wao haswa.
Mfano Pep si muda mrefu tutajua ,hata Messi akitoka Barcelona na kwenda club nyingine tutajua maana mara nyingi mfumo wa vilabu uwabeba makocha na wachezaji hasa waliokaa pamoja kwa muda mrefu na Cristaino Ronaldo amevuka kiunzi cha mfumo wa vilabu sababu katika miaka yake 31 ameshacheza club tatu kubwa na kupata mataji na tuzo kubwa.
Two decades in just one team! Cristiano Ronaldo two decades in three teams and in all of three he won champions league and among the three two were and still are the best teams.Correction Ronaldo alianzia sporting Lisbon, kuhusu Messi amecheza the best team in the world for about two decades now katika hayo mafanikio % kubwa juna la Messi lipo
Bold :in the WORLD sio england wala spain peke yake hata Argentina wataalam wa soccer wana postulate 90% ni yeye ndo anaifikisha fainali naza world cup na copa America
Me sijakuelewa unapima uwingi wa team au mafanikio?kwa sababu kuna wachezaji wamecheza nyingi kushinda huyo Gaynardo unayemsemaTwo decades in just one team! Cristiano Ronaldo two decades in three teams and in all three he won champions league and among the three two were and still are the best teams.