Wakati tukidanganywa kuwa Maambukizi ya 'VVU' yamepungua nchini, UN yasema sasa Maambukizi ya VVU ni Makubwa mno duniani

Wakati tukidanganywa kuwa Maambukizi ya 'VVU' yamepungua nchini, UN yasema sasa Maambukizi ya VVU ni Makubwa mno duniani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Umoja wa Mataifa (UN) imesema kuwa kuna Ongezeko Kubwa sana na la Kutisha la Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (Dally Kimoko) duniani kuliko awali huku Waathirika Wakubwa wakiwa ni Wasichana na Wanawake.

Taarifa: BBC Swahili

Mwaka jana zaidi ya mara Mbili hapa hapa JamiiForums GENTAMYCINE nilikuja na Taarifa yangu Binafsi ya Kuonya kuwa Watu wa TACAIDS na Mamlaka (Serikali) kupitia Muongo Mkuu' wake (KM) iache kufanya 'Propaganda' juu ya hili Janga kwa 'Kuwahadaa' Watanzania kuwa limepungua bali waseme tu Ukweli kuwa hali ni mbaya ila Sikueleweka na Nashukuru sasa Watu Wasio Wanafiki na wenye Akili wa UN wamesema kile kile nilichokiona na Kukisema.

Wengine akina GENTAMYCINE tuko sana na Jamii, tunatembea sana, tunajichanganya mno na pia ni Wadau Tukuka wa 'Mbunye' hivyo tukiwa tunasema Jambo hapa jueni kuwa tupo on the ground na tunaelewa nini Kinaendelea.

Wengine (hasa Sisi wenye Tatizo la Asili la Kuugua Pumu na tuna Damu ya Group O+) wala hatuko HATARINI kuathirika na VVU ila tunawaonea tu HURUMA Watanzania Wenzetu wengi ambao 24/7 Wanaambukizwa na Wanapukutika tu.
 
Kwa Tanzania yamepungua sana, bali kwa nchi nyingine yamepanda mno kiasi cha kutisha, #Tuache_kuibagaza_nchi_yetu.
°Naomba nijuze pumu inamsaidiaje muathirika?
 
Kwa Tanzania yamepungua sana, bali kwa nchi nyingine yamepanda mno kiasi cha kutisha, #Tuache_kuibagaza_nchi_yetu.
°Naomba nijuze pumu inamsaidiaje muathirika?
Wewe umejuaje kama umepungua? Kuhusu Watu walio Asthmatic kutokuwa na Hatari ya Kuambukizwa VVU mtafute Daktari Bingwa akupe Elimu zaidi na acha Kunipotezea muda sawa?
 
Nadhani ungekuja na takwimu halisi juu ya ongezeko hilo unalolisema, hoja yako ingekua na mashiko zaidi, kuliko haya maneno matupu ambayo yanaonekana kama proganda tu.
 
Sio pumu ni kundi la damu alilonalo O+ ni nadra sana kwao
Kwa Kujiamini kabisa na kwa Jeuri zote ni Scientifically Proven na nilishahakikishiwa na Specialists kadhaa kuwa Wenye Pumu ( Asthma ) niliyonayo Kiasili na wale Wenye Damu ya Group O+ na hata O- pia kupata Maambukizi ya VVU ni Ngumu.

Mwaka 1996 hadi mwaka 2002 nilipokuwa nchini Uganda nilibandua Mademu Kavu Kavu ( tena wengine nikijua ni Waathirika ukizingatia Uganda ndiyo ilikuwa juu kwa Maambukizi ila sikuupata.

Mwaka 2004 nilipokuwa Cape Town ( South Africa ) kwa mwaka Mmoja nilibandua mno Mademu wao tena Kavu Kavu ( huku Rate ya VVU kipindi hiko ) ikiwa juu na nilirejea Tanzania nikiwa mzima.

Mwaka 2010 nilibandua Mademu Watatu ( Kavu Kavu ) Wawili nilijua kabisa Wameshaathirika na VVU na Mmoja nilijua baadae nilipoenda nae Kupima ila sijaathirika.

Na kutokana na kupenda Kwangu Mbunye Kunakotukuka huku nikiwa nina allergy ya Kuipenda Condom kwakuwa napenda 'Minyama Ndani na Minyama Nje' ili nisikie Utamu zaidi huwa napima VVU mara kwa mara ila nakutwa Sijaathirika na nipo Fiti Kiafya.

ANGALIZO

Siyo kwamba labda GENTAMYCINE nimesema yote haya kama Kujimwambafai au Kuwashawishi nanyi mpende Mbunye kama Mimi la hasha bali nimeamua tu kutoa Ufafanuzi huu kutokana na Ushuhuda wangu Binafsi juu ya Sisi Wenye Pumu ( Asthma ) na Damu ya Group O+ na O-.

Kuweni makini Msiniige Mtakufa Oky?
 
nadhani ungekuja na takwimu halisi juu ya ongezeko hilo unalolisema, hoja yako ingekua na mashiko zaidi, kuliko haya maneno matupu ambayo yanaonekana kama proganda tu
Hopeless kama umeweza kuwa na Bando la kukuwezesha kuingia hapa JamiiForums unashindwa nini kwenda UN kwa njia ya Mtandao ili Ujiridhishe na Takwimu unayoitaka?

The only Statistics I have is how dame Moron you're. Should I put it here or I just keep it to myself?
 
Jinsi mimba zinavyobebwa mtaani na mabinti wadogo ina maana watu wanatembelea rimu sana(peku)
 
Hahahaaaa muongo wa taifa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii a.k.a inamfaa sana yule baba mtu wa sound sana
 
Wewe siyo Rijali umejuaje kama umepungua? Kuhusu Watu walio Asthmatic kutokuwa na Hatari ya Kuambukizwa VVU mtafute Daktari Bingwa akupe Elimu zaidi na acha Kunipotezea muda sawa?
Nakupotezea mda au naona ni vitu visivyo na uhusiano kabisa, tena wagonjwa wa pumu ndio walipaswa waathirike vibaya sana kwa hiv.
 
Maambukizi ya Monkeypox nasikia pia yamepanda sana kwa mujibu wa UN.

Mtaani nimekuta na maiti zimetapakaa za watu waliokufa kwa Monkeypox.

Kwetu ni Mbagala Rangi tatu. Maiti zimezagaa.

Vile vile nimekutana na maiti za wagonjwa wa UKIMWI.

Hali inatisha.
 
Back
Top Bottom