Wakati tukiendelea kujadili mkataba wa DP World, wanachama wa Chadema tunataka iweke hadharani mkataba wa ununuzi wa jengo la Ofisi

Wakati tukiendelea kujadili mkataba wa DP World, wanachama wa Chadema tunataka iweke hadharani mkataba wa ununuzi wa jengo la Ofisi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mimi mwanachadema, na kwa muda Sasa tunapiga mdomo kuhusu mkataba wa Bandari na DP. Katikati ya mjadala, Kuna jengo limenunuliwa na chama chetu kwa mabilioni.

Chama hakijatueleza nani alifanya uthamini wa jengo akapata thamani hiyo, nani katuuzia, fedha imelipwaje, na mkataba wa ununuzi uko wapi.

Chama chetu kimekuwa na kashfa ya kununua magari mabovu kwa Nia za panya.

Tunataka uwazi serikalini, lakini kwetu CDM Kuna kichaka kizito mno. Charity begins at home, if you come to equity, come with clean hands
 
Wewe ni mjinga Topolo!
Tunajadili mambo muhimu unaleta ya giza.
Hizo Mali za CCM wezi huziulizi hata!
Hayo Ma-V8.!!
Hizi walizoiba wakawaandikiana barua za onyo je!!
CCM inapokea zaidi ya 4B kwa mwezi lakini matumizi ya hizo pesa hazijulikani?
 
Kuna tetesi jengo hilo la mikocheni lilikua ni la mtoto wa mzee mtei shemeji yake mbowe. Kwahiyo chadema imenunua jengo kwa shemeji yake mbowe kwa bilioni 2
 
Back
Top Bottom