RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
Mhadhara - 49:
Right Marker
Dar es salaam
✍️Wakati tukiwa tunapambana na "Ukatili wa kijinsia kwa Mwanamke", tusisahau kuwa wapo baadhi ya wanaume pia wanapitia Ukatili wa Kijinsia.
✍️Kwa kuwa dhana ya ukatili ni pana sana, hivyo hatuwezi kuacha kuamini kwamba hata baadhi ya wanaume ni wahanga wa Ukatili wa kijinsia.
✍️Wapo baadhi ya wanaume ni wahanga wa ukatili wa kijinsia, na wapo wanawake wanawakatili wanaume kwa kuwatesa kimwili, kiakili na kihisia.
✍️Lakini linapokuja suala la kupinga ukatili wa kijinsia kama vile uwepo wa mikutano mbalimbali ya kupinga Ukatili wa kijinsia; vichwa vya habari vinawataja wanawake pekee. Bila shaka hata hotuba ya kupinga ukatili itazungumzia upande mmoja tu.
Soma Pia: Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu: Ukatili Dhidi ya Wanaume Umeongezeka
✍️Kwa kuwa dhana ya ukatili ni pana sana, hivyo hatuwezi kuacha kuamini kwamba hata baadhi ya wanaume ni wahanga wa Ukatili wa kijinsia.
✍️Wapo baadhi ya wanaume ni wahanga wa ukatili wa kijinsia, na wapo wanawake wanawakatili wanaume kwa kuwatesa kimwili, kiakili na kihisia.
✍️Lakini linapokuja suala la kupinga ukatili wa kijinsia kama vile uwepo wa mikutano mbalimbali ya kupinga Ukatili wa kijinsia; vichwa vya habari vinawataja wanawake pekee. Bila shaka hata hotuba ya kupinga ukatili itazungumzia upande mmoja tu.
Soma Pia: Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu: Ukatili Dhidi ya Wanaume Umeongezeka
Right Marker
Dar es salaam