Wakati tunawapongeza Kenya tuwalaani pia wasaliti wetu waliokataa katiba inayopendekezwa

Wakati tunawapongeza Kenya tuwalaani pia wasaliti wetu waliokataa katiba inayopendekezwa

Shuka mgongoni mwa polisi tupate kuongea.

Mkuu msome mheshiwa Pohamba vyema. Lako na lake ni moja. Tofauti ni namna ya kuipata suala ni fasihi tu mkuu. Ila yu ana hoja nzito sana. Juu juu huwezi kumwona zama umsome vyema mkuu:

Asema Pohamba:

Kitu kikubwa kilichoondolewa ni Serikal tatu lakin Mengine Mengi yalikuwepo sema kipindi kule Watu waliwekeza zaid kwny Chuki kwa Rais Kikwete wakaona wamkomoe ili Hata Kama Katiba kupita Basi ipitishwe na Rais ajae ( hawakujua Kama atakuwa Huyu JPM)

Jk aliwaomba Basi ipigwe kura ya Maoni ili Raia ajae abaki na kazi ya kusaini tu wakakataa na kudai hata kura ya Maoni itapigwa baada ya Jk kuondoka !

1) Madaraka ya Rais yalipunguzwa
2) Tume ya Uchaguzi ingekuwa huru
3) Matokeo yote ya Uchaguzi yangewezekana kuhojiwa Mahakamani
Siasa ni mbinu kwanini wasingekubali kupata Katiba Mpya then wakishinda wataongeza Hilo la Serikal 3
Wangejua za mbinu ya Raila Odinga alie kibali kuijiunga na KANU ya Daniel Arap Moi ili apate fursa ya kuivuruga na akafanikiwa Nyie mnaendesha Sisa za Kishamba

=======
Kupambana na hawa jamaa yataka mipango na mikakati ambayo yote si lazima iwe juu ya meza. Hiyo ndiyo hoja ya huyu mheshimiwa vinginevyo tutakuwa wasubiria dodo kwenye mnazi.
 
Shuka mgongoni mwa polisi tupate kuongea.

Kenya, Zambia, Malawi hawakusubiri washuke mgongoni waliwashusha Nyie mnashindwa nini na Mnajiita Makamanda wakat wenzenu waliweza japo sio Makamanda
 
Kenya, Zambia, Malawi hawakusubiri washuke mgongoni waliwashusha Nyie mnashindwa nini na Mnajiita Makamanda wakat wenzenu waliweza japo sio Makamanda
He who fight and run, will live to fight another day.
So better must come, by the bullet or the ballot!
 
Kenya, Zambia, Malawi hawakusubiri washuke mgongoni waliwashusha Nyie mnashindwa nini na Mnajiita Makamanda wakat wenzenu waliweza japo sio Makamanda
Huu ndio uchochezi OG.
 
Endeleeni kusubiri dodo kwny mnazi

UNIP ya Keneth Kaunda Zambia iliangushwa 1991 bila ya Tume huru wala Katiba Mpya

KANU ya Daniel Arap Moi iliangushwa 2007 bila ya Katiba Mpya wala Tume huru ya Uchaguzi

Life President Hasting Kamuzu Banda wa Malawi aliondolewa bila ya Tume huru wala Katiba Mpya

mnapaswa kupigania uwepo wa Wapinzani Wenye akili kuitoa CCM sio Katiba Mpya Kama wanavyowahadaa kwa kuwa Mataifa Mengi tu yaliwatoa watawala bila ya Katiba Mpya

Kitakachoiondoa CCM ni uwepo wa Wapinzani Wenye Vichwa vya kufikiri sio kufugia Nywele,
Kikwete anaingia Bungeni mnamzomea mnatoka Nje akistaafu anaingia Bungeni mnampokea kwa nderemo na vifijo

Mwanasiasa mnamwita Mwizi Fisadi Chama chake kinamkata mnampa Tiket ya kuwa Rais
Yani umenena kiongozi tatizo la wanasiasa wa nchii imekua ya hovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wanategemea huu udhaifu hapa
034348a1859fa7dda665bc44d26290e0.jpg



Iliyopendekezwa
d9ed204dd074626edd89e7375a984875.jpg


CCM wako tayari kuua maelefu ya raiya ili kuipinga hii katiba pendekezwa.
Sumaye na Lowassa hawajawahi kiunga mkono katiba ya Warioba.

......
 
Back
Top Bottom