Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Lowassa Ni mmojawapo wa wanaopinga katiba ya WariobaWote hao ni wahusika wa kushindwa kupatikana katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa Ni mmojawapo wa wanaopinga katiba ya WariobaWote hao ni wahusika wa kushindwa kupatikana katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi.
Shuka mgongoni mwa polisi tupate kuongea.
Shuka mgongoni mwa polisi tupate kuongea.
He who fight and run, will live to fight another day.Kenya, Zambia, Malawi hawakusubiri washuke mgongoni waliwashusha Nyie mnashindwa nini na Mnajiita Makamanda wakat wenzenu waliweza japo sio Makamanda
Huu ndio uchochezi OG.Kenya, Zambia, Malawi hawakusubiri washuke mgongoni waliwashusha Nyie mnashindwa nini na Mnajiita Makamanda wakat wenzenu waliweza japo sio Makamanda
Mkuu unasemaje kuhusu post namba1?tuwafanye nini waliokataa katiba pendekezwa?
Yani umenena kiongozi tatizo la wanasiasa wa nchii imekua ya hovyo sanaEndeleeni kusubiri dodo kwny mnazi
UNIP ya Keneth Kaunda Zambia iliangushwa 1991 bila ya Tume huru wala Katiba Mpya
KANU ya Daniel Arap Moi iliangushwa 2007 bila ya Katiba Mpya wala Tume huru ya Uchaguzi
Life President Hasting Kamuzu Banda wa Malawi aliondolewa bila ya Tume huru wala Katiba Mpya
mnapaswa kupigania uwepo wa Wapinzani Wenye akili kuitoa CCM sio Katiba Mpya Kama wanavyowahadaa kwa kuwa Mataifa Mengi tu yaliwatoa watawala bila ya Katiba Mpya
Kitakachoiondoa CCM ni uwepo wa Wapinzani Wenye Vichwa vya kufikiri sio kufugia Nywele,
Kikwete anaingia Bungeni mnamzomea mnatoka Nje akistaafu anaingia Bungeni mnampokea kwa nderemo na vifijo
Mwanasiasa mnamwita Mwizi Fisadi Chama chake kinamkata mnampa Tiket ya kuwa Rais
Sumaye na Lowassa hawajawahi kiunga mkono katiba ya Warioba.CCM wanategemea huu udhaifu hapa![]()
Iliyopendekezwa![]()
CCM wako tayari kuua maelefu ya raiya ili kuipinga hii katiba pendekezwa.
Wakati huo Sumaye na Lowassa unawaweka kundi gani?Mtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake
Fisadi Lowassa na Sumaye wakaunga mkono.Aliyeanza kuikakaa rasimu ya Warioba ni fisadi Kikwete katika hotuba yake Bungeni.
Nan ambaye inabid alaaniwe lkn hayupo duniani?Mtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake