ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Wewe kubwa la manyumbu ni mbumbumbu mkubwa,hao hawana Cha kuwasaidia.Dada wewe ni mjinga jinga Norway wanatusaidia kujenga shule za watoto wetu, hospitali na Raisi Samia alienda Norway kuomba msaada kwa malkia wao leo unawaita Mabeberu kwasababu wanapenda haki !. China ambao wamejenga chuo cha CCM hawaiti mabeberu wakati serikali inatumia pesa za mikopo na kodi kuwalipa wachina huo ni ujinga wa hali ya juu. Samia atawashangaa sana wamewatuma kuwa Machawa mnakuja huku kuwatukana wadhamini wa nchi yetu
Mshindwe kushawishi Watanzania mtegemee Mabeberu wawasaidie? 😂😂
Itoshe kusema hamna akili