Wakati Tundu Lissu ameenda kujiliza kwa Beberu Norway, 4R za Rais Samia zavuka boda na kutikisa Geneva-Uswisi.

Wewe kubwa la manyumbu ni mbumbumbu mkubwa,hao hawana Cha kuwasaidia.

Mshindwe kushawishi Watanzania mtegemee Mabeberu wawasaidie? 😂😂

Itoshe kusema hamna akili
 
Wewe kubwa la manyumbu ni mbumbumbu mkubwa,hao hawana Cha kuwasaidia.

Mshindwe kushawishi Watanzania mtegemee Mabeberu wawasaidie? 😂😂

Itoshe kusema hamna akili

Dada kampanulie mzee wasira tuache tuendelee kuongelea mambo ya maana
 
Huko Geneva ndiyo kwenye mabeberu yanayonusa , kunyanyua kichwa na kukenua meno ya mbele. Kama hayo mabeberu yanapokea positively kitu kutoka kutoka kwa serikali inayoonekana mchana kweupe ikikiuka haki za binadmu basi ujue kuna vitu wamepewa wavile.
 
Huna swaga
 
Machadema wakiongeza chuki Kuna shida gani ? Lini waliwahi punguza ? 🤪🤪
Hii mtu yeyote anaeichukia Serikali ya CCM automatically anakuwa CHADEMA, kwahiyo CHADEMA imekuwa na wanachama wengi kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…