Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
 
Tupo busy na besidei
20220127_170722.jpg
 
Tuna tatizo la kudumu, nahisi tunaweza kuwa mazezeta japo wengi wetu tunajiona tuko sawa.
Absolutely true.

Sisi watanzania hatuko sawa, naanza kuyaamini baadhi ya maneno ya watu wanayosema kuwa ule Mwenge unaozungushwa na kukimbizwa nchi nzima kila mwaka, ndiyo "uchawi" wenyewe uliotuloga!😁
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara wa madini na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Inasikitisha sana! Iko mbwa moja inajifanya self made activist Aka kigogo2014 kumbe lengo lilikuwa kumtokomeza JPM. Sasa amekuja mwenzao wako kimya. Jibwa abdalah Mlawa kumbe lilikuwa CCM likimtaka tu JPM afe. Halina uchungu wowote na wananchi wala nchi.

Na siye tumezidi kha hivi uchawi tuliologwa ulitoka sayari gani? Halafu bado ukiingia pub utakutana na policcm wana jimwambafay.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara wa madini na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Mwenge unapumbaza watu. Mwenge umelifanya taifa hili kuwa na watu wa ajabu kabisa
 
Inasikitisha sana! Iko mbwa moja inajifanya self made activist Aka kigogo2014 kumbe lengo lilikuwa kumtokomeza JPM. Sasa amekuja mwenzao wako kimya. Jibwa abdalah Mlawa kumbe lilikuwa CCM likimtaka tu JPM afe. Halina uchungu wowote na wananchi wala nchi.
Na siye tumezidi kha hivi uchawi tuliologwa ulitoka sayari gani? Halafu bado ukiingia pub utakutana na policcm wana jimwambafay.
Mafusho ya mwenge
 
Na sitashangaa Boris akijiuzulu! Sisi hiku tunachoweza ni kuomba misaada tu
 
Watanzania ni wewe na mimi..

Sasa wewe uko kwenye keyboard halafu unawalaumu Watanzania.

Chukua bango chapisha fulana ingia barabarani, wanaokubaliana na wewe nao wakifanya hivyo mtajikuta mko 4mil barabarani na kilio kitasikika.

Ukishindwa, sema watanzania nani katuroga, watanzania wote sisi waoga, watanzania wote sisi wanafiki....na mwisho kabisa unapata majibu, hata walio madarakani ni copy and paste yasisi tulio uraiani...
 
Huwezi kula ugali toka udogo wako Hadi utu uzima utegemee kuwa na akili nakwambia ni ndoto

Hata viongozi tulionao sisi nao umeme mdogo kichwani, kiongozi unatukanwa ila unaomba msamaha mwenyewe pumbavu sana

Kifupi tz wenye akili timamu kama itafanyika sensa hawawezi fika 100

Kuna mpumbavu mmoja humu nimewahi changia udhaifu wa kada flani akanifata kwA box la siri kunipiga mikwara nikacheka sana.

Ugali upigwe marufuku, umetudumaza akili walahi
 
Nchi za utawala wa kichifu hizi, hakuna(ga) mambo ya kujiuzulu...
 
Wakati unaandamana unajikuta unamzigo wa madeni na huohuo muda boss anakuhitaji kazini,Sasa kaandamane wakuvunje mguu ukae huna kazi maisha yakukabe uanze kumlilia Mungu!.

Sio kwamba watu hawataki kuyasemea tatizo nchi yetu ukipiga kelele wanakubeba pembeni wanakubinya mbupu mpk sperm zako mwenyewe zinaanza kukuambia uache kimbelembele!
 
Huwezi kula ugali toka udogo wako Hadi utu uzima utegemee kuwa na akili nakwambia ni ndoto

Hata viongozi tulionao sisi nao umeme mdogo kichwani, kiongozi unatukanwa ila unaomba msamaha mwenyewe pumbavu sana

Kifupi tz wenye akili timamu kama itafanyika sensa hawawezi fika 100

Kuna mpumbavu mmoja humu nimewahi changia udhaifu wa kada flani akanifata kwA box la siri kunipiga mikwara nikacheka sana.

Ugali upigwe marufuku, umetudumaza akili walahi
 
Back
Top Bottom