Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Tanzania ni kubwa sana sio kila mtu anamawasiliano sasa ulitaka watu wasifanye kazi kuna watu wanamind own business hawataki shida na mtu arifu litashtusha lakini pia silazma limgise kila mtu and vise versa ........ Ni mtazamo tu!!
 
Athari za mwendazake ndo hizi, na kama mwendazake amgetawala nchi miaka aliyotaka wengi wangeuawa na kudhalilishawa vibaya mno... kina makonda na huyo gaidi mwenzake Sabaya wangefanya watakayo dhidi ya binadamu na hakuna wa kuhoji.

Sirro sijui bado anafanya nini ofisini muda huu... kazi ilishamshida muda tu.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
CCM na mfumo wao wa elimu ndio walozi wa nchi hii
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Uingereza hawana ubinafsi kwao suala la mtu mmoja linawikilisha wote na linashughulikiwa na wote kwa nguvu moja.

Tanzania labda ni ukosefu wetu wa elimu katika sekta nyingi, huwa tunakwenda halafu tunapoteza ufuatiliaji. UK au USA mtu anaua mwenzake mwaka `1969 kesi inakuwa ni ya baridi tu lakini haifi mpaka iishe, mpaka haki ipatikane.

Tunaongozwa na ubinafsi wa hali ya juu, hata hawa wanaoonekana kana kwamba wanapigania maslahi ya wote nyuma ya pazia wanapigania matumbo yao.
 
Inasikitisha sana !! Mchoma sindano ameharibu career yake kizembe sana !!
 
Huyu bibi hangaya ana tatizo kubwa sana kiuongozi...inabidi aambiwe ukweli.
Vinginevyo ataliangamiza hili taifa kwa uongozi wake wa hovyo.

Hawa watoto badala ya kufanya kilichowapeleka shule, wanatumia muda wao kukaririshwa mambo ya kipuuzi.
Punguza povu linalotokana na chuki mkuu Ngorunde. Birthday ni siku moja tu kesho asubuhi imekwisha, wewe unatoa machungu yako ya moyoni kwa suala la kupita!!.

Utajipatia blood pressure ukiwa mdogo sana pasipo sababu za msingi.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
tatizo tuko wengi.mil 60 +
 
Sisi tupo enzi za ujima !! Africa ni bara la hovyo kabisa.

Karne ya 21 tunafanya mambo ambayo Ulaya waliyafanya karne ya 13...same!!
 
Huwezi kula ugali toka udogo wako Hadi utu uzima utegemee kuwa na akili nakwambia ni ndoto

Hata viongozi tulionao sisi nao umeme mdogo kichwani, kiongozi unatukanwa ila unaomba msamaha mwenyewe pumbavu sana

Kifupi tz wenye akili timamu kama itafanyika sensa hawawezi fika 100

Kuna mpumbavu mmoja humu nimewahi changia udhaifu wa kada flani akanifata kwA box la siri kunipiga mikwara nikacheka sana.

Ugali upigwe marufuku, umetudumaza akili walahi


Wewe mwenyewe leo umeshindia huo huo ugali!!🤣
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Duh mtihani kweli
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?

Watakwambia angalia ugali wako na watoto wako
 
Athari za mwendazake ndo hizi, na kama mwendazake amgetawala nchi miaka aliyotaka wengi wangeuawa na kudhalilishawa vibaya mno...kina makonda na huyo gaidi mwenzake Sabaya wangefanya watakayo dhidi ya binadamu na hakuna wa kuhoji.

Sirro sijui bado anafanya nini ofisini muda huu...kazi ilishamshida muda tu.
Mungu amefanya yake!
 
Huwezi kula ugali toka udogo wako Hadi utu uzima utegemee kuwa na akili nakwambia ni ndoto

Hata viongozi tulionao sisi nao umeme mdogo kichwani, kiongozi unatukanwa ila unaomba msamaha mwenyewe pumbavu sana

Kifupi tz wenye akili timamu kama itafanyika sensa hawawezi fika 100

Kuna mpumbavu mmoja humu nimewahi changia udhaifu wa kada flani akanifata kwA box la siri kunipiga mikwara nikacheka sana.

Ugali upigwe marufuku, umetudumaza akili walahi
Sijawahi kuwa na feelings na ugali sijui kwanini?

Ugali sio chakula ile ni biological weapon wazungu wametugea kutunguza uwezo wa fikra ila sisi bado hatujastukia mchongo kwasababu ubongo tayari ushakua affected na kemikali za ugali

Ugali ni silaha hatari na ya kuogofya na ndio maana jela inatumika kwa wafungwa kama sehemu ya adhabu, kule uzunguni naskia wahalifu wakikamatwa na mamwela halafu wakataka kupata siri kwa hao wahalifu za kujua nani aliyewatuma, wanatumia ugali kuwatesa

Naskia wakiona tu nguna inakuja wanaanza kulia na kutaja siri zote hata kabla hawajalishwa

Naishangaa serikali inavyo jihangaisha kuwapa raia mbolea za ruzuku kuendelea kulima matatizo ambayo yanaendelea kudhuru kizazi hadi kizazi
 
Hakuna kiongozi wa kudai stimulate ubongo, MTKILA hayupo. LISU yupo mbali.
 
Inasikitisha sana! Iko mbwa moja inajifanya self made activist Aka kigogo2014 kumbe lengo lilikuwa kumtokomeza JPM. Sasa amekuja mwenzao wako kimya. Jibwa abdalah Mlawa kumbe lilikuwa CCM likimtaka tu JPM afe. Halina uchungu wowote na wananchi wala nchi.
Na siye tumezidi kha hivi uchawi tuliologwa ulitoka sayari gani? Halafu bado ukiingia pub utakutana na policcm wana jimwambafay.
Kwa hiyo nyie mliamini kigogo anapigania maslahi yenu?
 
Back
Top Bottom