Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,592
Yeah! Nimeona movie ya recent inaitwa RIOT.Jamaa noma bado ana piga mzigo km kawa
Mkuu una fix hahahaaaa...
Alikuwa akibeba gunia mbili za mahindi kwa pamoja kwa mtindo wa x......
Alikuwa na uwezo wa kumkamata ng'ombe na kumchinja peke yake....
Alikwa na uwezo wa kusukuma plau ya kulimia pekee yake na kulima heka nzima ya shamba.....
Kwa kifupi jamaa alikuwa na nguvu za ajabu.....
Hivi hizi movie zilizotafsiliwa zimeanza lini kwani maana mimi nimeanza kuzifahamu kama 2009 baada ya kuona watoto wananunua sana....R.i.p Kanali Mstaafu Derick Lufufu Mkandala Bila Wewe Picha Zote Walizo zitaja Wadau Hapo Juu Zisinge Noga...Bila Wewe Nani Angejua Kuwa:
a)Mguu wa Kuku-bastola
b)Mwani=risasi(mwani ni buni kwa kihaya)
c)mgele=mtama
d)marwa=pombe
e)mbaliga=matege
f)kukimbia kimbaliga mbaliga uku mbaliga zikiangalia kisogo=kukimbia haraka uku miguu ikugusa kisogo
g)nyumanju=nyuma ya nyumba
i)viazi=mabomu ya kurushwa na mikoo
j)
ahahaha,lufufu alikuwa noma!
Mungu Ampe Maisha Nikutane Mbinguni Hili Tuendelee Kutasfiri Muvi!
mkuu,mie nimeanza kuzicheki pale tandale chama tangu the late 90s kwenda 2000s!halafu tunacheki mapicha,ikifika mida ya saa tatu usiku linawekwa "pilau" mpaka liamba!Hivi hizi movie zilizotafsiliwa zimeanza lini kwani maana mimi nimeanza kuzifahamu kama 2009 baada ya kuona watoto wananunua sana....
Unashangaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hakuna cha ajabuView attachment 342181 View attachment 342182 View attachment 342183 View attachment 342184 View attachment 342185
Wale watu wazima wenzagu, enzi hizo hakuna cha "Isidingo The Need" wala sijui Tamthilia za Kifilipino. Ilikuwa ni "mikanda" ya ngumi na ile ya kivita. Vurumai za makomandoo na vita vya Wavietnam na USA.
Huwezi kuongelea "mikanda" ya ngumi bila kumtaja Rambo, Bolo Yang(You are Next) na kina Rambo. Hawa jamaa walitisha sana,l akini leo hii ndio hali yao.
Basi sisi tulikuwa tunaangalia zile Orginal kuanzia Rangi, Sauti ni HQ japo tulikuwa hatujui kinachoongelewa....!!mkuu,mie nimeanza kuzicheki pale tandale chama tangu the late 90s kwenda 2000s!halafu tunacheki mapicha,ikifika mida ya saa tatu usiku linawekwa "pilau" mpaka liamba!
Ni kitambo mkuu,kama umekulia uswazi hivi ni vitu vya kawaida kwa sie tulio kulia uswazi!!
We jamaa acha jana nmeangalia picha ya mzee wangu akiwa job mchoz ukanitoka na ni kama kuipiga juz tu but he has gone old cjui mwenyewe akiiona atajisikiajeDah maisha yanaenda speed sana ,huwa nawaangalia wazazi wangu juzi tu ni ma janki leo ndio uzee huo na mimi naelekea huko
mkuu,ulikosa uhondo!itafute picha inaita "Eastern Condors" Iliyafsiliwa na Lufufu Mkandala Uone Mapigo Yanavyo pigwa!Basi sisi tulikuwa tunaangalia zile Orginal kuanzia Rangi, Sauti ni HQ japo tulikuwa hatujui kinachoongelewa....!!
Yaani mkuu tunakua halafu tunasahau na wazazi wetu wanazeeka pia ,utakuta mtu yuko busy na maisha anasahau hata kutenga muda kukaa nao ,dah ndio maisha lakiniWe jamaa acha jana nmeangalia picha ya mzee wangu akiwa job mchoz ukanitoka na ni kama kuipiga juz tu but he has gone old cjui mwenyewe akiiona atajisikiaje
Japo ndo ivo we live once
mkuu,na ww uwa unafikaga uku?Wakati ukuta