The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
Hakuna movie ninayoipenda kama hiyo na mpaka leo huwa nairudia kuangalia...mkuu,ulikosa uhondo!itafute picha inaita "Eastern Condors" Iliyafsiliwa na Lufufu Mkandala Uone Mapigo Yanavyo pigwa!
Mkuu ulikuliwa upi utotoni?
Iki?Tumsifuni Yesu kristu
Ndo ivo mkuu mishe za maisha ukikaa mwaka bla kumuona mzazi wako sku ukimuona utachoka so sad bnadam aliezaliwa na mwanamke cku zake c nying za kuish ktk uso wa dunia cha muhim tuwatendee wema at moment zei still alive ili tusiwe na denYaani mkuu tunakua halafu tunasahau na wazazi wetu wanazeeka pia ,utakuta mtu yuko busy na maisha anasahau hata kutenga muda kukaa nao ,dah ndio maisha lakini
You said it all Mkuu kwa hakika siku zetu ni chache sana ,tuwalipe tu kwa wema wetu kwaoNdo ivo mkuu mishe za maisha ukikaa mwaka bla kumuona mzazi wako sku ukimuona utachoka so sad bnadam aliezaliwa na mwanamke cku zake c nying za kuish ktk uso wa dunia cha muhim tuwatendee wema at moment zei still alive ili tusiwe na den
Hyo ndo muv bora katka maisha yangu to dateHakuna movie ninayoipenda kama hiyo na mpaka leo huwa nairudia kuangalia...
Hehehe kwani mie nipoje mkuumkuu,na ww uwa unafikaga uku?
Ndio movie iliyomtoa Samo hung...Hyo ndo muv bora katka maisha yangu to date
Cynthia Rock....Tuwekee na Cynthia wa kichina..Mcheck huyu mama, Cynthia Rothock.
Ya kwanza ni enzi hizo, na ya pili ni alivyo sasa.
Dah umenikumbusha mbali sana hao watu.Cynthia Rock....Tuwekee na Cynthia wa kichina..
Haya tuambie nani mkali kati yao?Dah umenikumbusha mbali sana hao watu.
Tumsifuni Yesu kristu
Nilikuwa na mkubali Cynthia Khan (wakichina) .Haya tuambie nani mkali kati yao?
Hivi siku hizi kuna movie za kivita kweli kama zile za enzi zetu...Unakuta pale Eastern Condours pale Missing in Action, Delta Force, America Ninja, Fifty Fifty, President Man...Siku hizi hakuna movie za kibabe. Ni makompyuta tu meengi na upuuzi wa aina hiyo. Eti starring mkali wa kukimbiza gari na pikipiki! Zamani starring ni mkono kwenda mbele lazima awe mtu wa martial arts, mbavu nene, na mkatili fulani hv. Ndio maana enzi hizo akitoa Rambo wote mnaitafuta, akitoa Damme, Arnold ni gumzo mtaani.