WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

Hivi siku hizi kuna movie za kivita kweli kama zile za enzi zetu...Unakuta pale Eastern Condours pale Missing in Action, Delta Force, America Ninja, Fifty Fifty, President Man...
Acha yani acha kabisa hizo movie
Nakumbuka nilikua natoroka shule ili niziangalie

Let it flow
 
hahahahaha Borro young kuna kipindi nilimchukia kabisa jamaa alikuwa katili sana,....mtaalam wa kunyonga...
 
Bolo Young, Rambo na Dolf Lundgreen hawajabadilika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…