Hapa ndugu unakosea, mimi naamini wacheza mpira wa sasa wana la kujifunza, huyu ngasa kwa sasa alipaswa kucheza yanga kuwasaidia yanga kwa waliyomfanyia huko nyuma na si kwa njaa, angewekeza saiv angekuwa anakula pensheni tu, hapo unaweza kuta hata nyumba mbili tatu hanaPale kijiwe cha Mikia kinapokosa stori za kujadili.
πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Akaongeza na mkeππBaada ya kununua vidala dala na gari ya kutembelea akagoma kwenda kucheza Sudan kwa malipo makubwa akabaki Yanga...
Wakati ukuta,ukipiga ngumi lazima utaugulia hata kwa yowe la chini chini. Daladala 'kwishneh' gari nayo chali kilichobaki malalamiko.
Haruna Moshi na Ngasa watajutia wakati wao.
Pamoja na Uyanga wangu siwezi mtetea Ngasa,alipata nafasi alishindwa kuitumia saizi anatapa tapa tu,madai yake inawezekana ni ya msingi ila kwa kiwango chake saizi angekuwa anakula pensheni nzuri,mahaba yalimzidi mpaka akasahau kesho yake.
Maisha yanahitaji nidhamu ya hali ya juu sana kwani muda hua hausubiri mtu,
You don't get the same moment twice in life.
Kuna ile clip yake inatrend insta " the the ball iz good, help me"
Ile interview nilicheka mpaka machozi[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenikumhusha mbali sana. Ile iliniuma sana jamaa kuacha kwenda sudan. Alibaki yanga sababu tu alikuwa anacheza na majukwaa na si vinginevyo. Sijui jamaa alikosa mshauri. Ila muache maisha yampige sina huruma nae jamaa huyuBaada ya kununua vidala dala na gari ya kutembelea akagoma kwenda kucheza Sudan kwa malipo makubwa akabaki Yanga...
Wakati ukuta,ukipiga ngumi lazima utaugulia hata kwa yowe la chini chini. Daladala 'kwishneh' gari nayo chali kilichobaki malalamiko.
Haruna Moshi na Ngasa watajutia wakati wao.
Mkuu umenikumhusha mbali sana. Ile iliniuma sana jamaa kuacha kwenda sudan. Alibaki yanga sababu tu alikuwa anacheza na majukwaa na si vinginevyo. Sijui jamaa alikosa mshauri. Ila muache maisha yampige sina huruma nae jamaa huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh Bujibuji kumbe unakaa kibeberu me jirani yako ila hilo biriani sio lile la mariamuMrisho Ngassa njoo huku uchezee Kibeberu FC halafu Kuna mademu wakali sana na biriani unapewa