Wakati unafikiri kuanza biashara mpya pita hapa

Hii imetulia mkuu sasa kama huna biashara yeyote inakuwaje hapo
 
wakuu samahanin san <br />naomba mtu au watu amabo wanauzoefu na biashara ya vifaa vya simu(phone accessories) kutoka kenya au Zanzibar kwa bei ya jumla vifaa hvyo ni km vile mics,system chargers, screen touches, glass protectors, earphones, phone covers,chargers,USB cables,carbons, speakers, motherboard,memory cards, flash, battery, nk. nahitaji kujua bei ya jumla kwa hayo maeneo mawili(kenya na zanzibar) na wapi ni nafuu zaid na maeneo ambayo ni dominant kwa kuuza hvyo vifaa kwa bei ya jumla msaada plzzz wakuu<br /> cont: +255769939879<br />whatsapp na voice call online 24/7
 
nmechungulia kidogo humo ila nkaona mnaelezea kitu juu juu sana.mfano mada ya business plan mmeishia kuelezea umuhimu wake tu sio hata robo ya namna yakuiandaa
kama slogan ya community inavyosema Get connection & Share knowledge refer kwenye kushare knowledge, kila mmoja anashare kwa uwezo wake wa knowledge aliyonayo kuhusu swala zima la biashara na ujasiriamali, ivyo basi kama kuna mapungufu unayaona kwa kile alichokishare mwingine ni ruksa na wewe kushare kile ulichonacho ili kusaidia wote kwa pamoja na kuongeza thamani kwenye community.
 
What the forum does? is focus on business and entrepreneurship, so if you want to know something come to the forum and ask

[HASHTAG]#mjasiriamalidesk[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…