Wakati unatafuta maisha usisahau kuishi

Wakati unatafuta maisha usisahau kuishi

Raphael_Mtokambali

New Member
Joined
Oct 30, 2021
Posts
0
Reaction score
12
WAKATI UNATAFUTA MAISHA USISAHAU KUISHI

Endelea kupambana lakini usisahau yakua unapaswa kuayaishi maisha yako maana siku zikiisha kuhesabika na hazito rudi nyuma

Kadiri ya mda na siku zinavyo endelea kusogea basi na wewe unapunguza muda wako wa kuwapo hapa duniani hili ni suala ambalo liko wazi sana

Acha nikusimulie kidogo kisa cha mzee mmoja alie wahi kunisimulia.....

Mwaka 2007 niliwahi kumtembelea babu yangu mmoja kwenye moja ya kijiji kilichopo mkoani Iringa na hii ilikua baada ya kutokutana na babu kwa muda mrefu sana ingawa hapakua mbali sana na kijijini kwetu.

Nilipofika huko baada ya salaamu na kukaribishwa basi kiliandaliwa chakula cha mchana nakumbuka ilikua ni (ugali na nyama pori) nilifurahi sana kupata chakula kile nikiwa na babu yangu.

Baada ya kujumuika pamoja kwenye chakula kile basi bibi alileta karanga na maziwa tukiendelea kutafuna huku tukipiga story za hapa na pale.....

Babu yangu aliniuliza swali "endapo ukipata nafasi ya kusoma na kuwa na maisha yako utapendelea kufanya nini?"

Nilimjibu kwa haraka sana...
"Mimi nataka kuja kuwa na mihela mingi sana na nataka niishi Dar, tena nijenge na nyumba ndefuuuuu(ghorofa)

Babu akaniuliza tena "unajua utaishi hapa duniani kwa muda gani?

Hapo sikumjibu nilipata kigugumizi kidogo.....

Babu akasema..

Hata mimi usinione naishi huku shambani sio kwamba sikutamani kuishi huko Dar au Marekani ila nilishindwa kwasababu nilijipanga sana na hatimae nikajikuta nimeshachoka na sikuweza tena kuikabiri hio mikiki mikiki

Wakati nafanya kazi niliweka sana pesa na baadae nilizimaliza fedha zote kwa kujitibia maradhi na kupambana na matatizo mbali mbali.

Babu akaendelea kunisimulia huku akinisititizia ya kuwa mipango sio matumizi na kupanga bila kuanza ni sawa sawa na hakuna.

Kiukweli babu alikua ananiambia vitu vikubwa sana na wakati huo nilikuwa bado ni kijana mdogo sana ila kidogo kidogo nilikua namuelewa.

Anyway tuache story za mimi na babu hakika ilikuwa ni zamani sana

Sasa acha tuyazungumze ya leo.

Ni ukweli yakuwa tunatafuta maisha sana lakini wengi bado hatuja jua tunatafuta maisha yapi na wapi, lini tutayatumia maana hakuna sayari nyingine ya kukitumia ulicho kipata duniani.

Basi hata sasa yatupasa kuwa na mipango inayoeleza ukomo wa muda maana tunaweza tukatafuta vingi sana na tukakosa muda wa kuvitumia.

Tunapaswa kupambana na kufanya jitihada kubwa za kuhakikisha tunayapata maisha na wakati huo huo tukiendelea kuyaishi maisha.

Kuweza kujikimu ki makazi, malazi na chakula ni ishara tosha ya kuwa tunaishi.

Basi kama ndivyo yatupasa tuendelee kuishi wakati tunatafuta maisha hakuna maisha mapya na tofauti zaidi ya hayo unayoishi cha zaidi kitakachoongezeka au kupungua ni mtindo wa maisha.

Basi tujifunze yakuwa hata nyakati hizi sisi tunaishi maisha

Wakati unatafuta maisha usisahau kuyaishi maisha yako

Tuendelee kuishi wapendwa

MIMI NI MR 👍
Raphael Mtokambali✍️✍️
 
WAKATI UNATAFUTA MAISHA USISAHAU KUISHI

_Endelea kupambana lakini usisahau yakua unapaswa kuayaishi maisha yako maana siku zikiisha kuhesabika na hazito rudi nyuma

Kadiri ya mda na siku zinavyo endelea kusogea basi na wewe unapunguza muda wako wa kuwapo hapa duniani hili ni suala ambalo liko wazi sana

Achanikusimulie kidogo kisa cha mzee mmoja alie wahi kunisimulia.....

Mwaka 2007 niliwahi kumtembelea babu yangu mmoja kwenye moja ya kijiji kilichopo mkoani iringa,na hii ilikua baada ya kutokutana na babu kwa mdamrefu sana ingawa hapakua mbali sana na kijijini kwetu.

Nilipofika huko baada ya salaamu na kukaribishwa basi kiliandaliwa chakula cha mchana nakumbuka ilikua ni (ugali na nyama poli) nilifurahi sana kupata chakula kile nikiwa na babu yangu.

Baada ya kujumuika pamoja kwenye chakula kile basi bibi alileta kalanga na maziwa tukiendelea kutafuna huku tukipiga story za hapa na pale.....

Babu yangu aliniuliza swali "endapo ukipata nafasi ya kusoma na kuwa na maisha yako utapendelea kufanya nini?"

Nilimjibu kwa haraka sana...
"Mimi nataka kuja kua na mihela mingisana na nataka niishi dar, tena nijenge na nyumba ndefuuuuu(ghorofa)

Babu akaniuliza tena "unajua utaishi hapa duniani kwa mda gani?

Hapo sikumjibu nilipata kigugumizi kidogo.....

Babu akasema..

Hata mimi usinione naishi huku shamabani sio kwamba sikutamani kuishi huko dar au marekani ila nilishindwa kwasababu nilijipanga sana na hatimae nikajikuta nimesha choka na sikuweza tena kuikabiri hio mikiki mikiki

Wakati nafanya kazi niliweka sana pesa na baadae nilizimaliza fedha zote kwa kujitibia maradhi na kupambana na matatizo mbali mbali.

Babu akaendelea kunisimulia huku akinisititizia yakua mipango sio matumiza na kupanga bila kuanza ni sawa sawa na hakuna.

Kiukweli babu alikua ananiambia vitu vikubwa sana na wakati huo nilikua bado ni kijana mdogo sana ila kidogo kidogo nilikua namuelewa.

Anyway tuache story za mimi na babu hakika ilikua ni zamani sana

Sasa acha tuyazungumze ya leo.

_ni ukweli yakua tunatafuta maisha sana lakini wengi bado hatuja jua tunatafuta maisha yapi na wapi,lini tutayatumia maana hakuna sayari nyingine ya kukitumia ulicho kipata duniani.

_basi hata sasa yatupasa kuwa na mipango inayoeleza ukomo wa mda maana tunaweza tukatafuta vingi sana na tukakosa mda wa kuvitumia .

_tunapaswa kupambana na kufanya jitihada kubwa za kuhakikisha tuna yapata maisha na wakati huo huo tukiendelea kuyaishi maisha.

_kuweza kujikimu ki makazi, malazi na chakula ni ishala tosha yakua tunaishi.

Basi kama ndivyo yatupasa tuendelee kuishi wakati tunatafuta maisha hakuna maisha mapya na tofauti zaidi ya hayo unayo ishi cha zaidi kitakacho ongezeka au kupungua ni mtindo wa maisha.

Basi tujifunze yakua hata nyakati hizi sisi tunaishi maisha

_wakati unatafuta maisha usisahau kuyaishi maisha yako

Tuendelee kuishi wapendwa

MIMI NI MR [emoji106]
Raphael Mtokambali[emoji871]️[emoji871]️
Ni sahihi kiongozi
 
WAKATI UNATAFUTA MAISHA USISAHAU KUISHI

Endelea kupambana lakini usisahau yakua unapaswa kuayaishi maisha yako maana siku zikiisha kuhesabika na hazito rudi nyuma

Kadiri ya mda na siku zinavyo endelea kusogea basi na wewe unapunguza muda wako wa kuwapo hapa duniani hili ni suala ambalo liko wazi sana

Acha nikusimulie kidogo kisa cha mzee mmoja alie wahi kunisimulia.....

Mwaka 2007 niliwahi kumtembelea babu yangu mmoja kwenye moja ya kijiji kilichopo mkoani Iringa na hii ilikua baada ya kutokutana na babu kwa muda mrefu sana ingawa hapakua mbali sana na kijijini kwetu.

Nilipofika huko baada ya salaamu na kukaribishwa basi kiliandaliwa chakula cha mchana nakumbuka ilikua ni (ugali na nyama pori) nilifurahi sana kupata chakula kile nikiwa na babu yangu.

Baada ya kujumuika pamoja kwenye chakula kile basi bibi alileta karanga na maziwa tukiendelea kutafuna huku tukipiga story za hapa na pale.....

Babu yangu aliniuliza swali "endapo ukipata nafasi ya kusoma na kuwa na maisha yako utapendelea kufanya nini?"

Nilimjibu kwa haraka sana...
"Mimi nataka kuja kuwa na mihela mingi sana na nataka niishi Dar, tena nijenge na nyumba ndefuuuuu(ghorofa)

Babu akaniuliza tena "unajua utaishi hapa duniani kwa muda gani?

Hapo sikumjibu nilipata kigugumizi kidogo.....

Babu akasema..

Hata mimi usinione naishi huku shambani sio kwamba sikutamani kuishi huko Dar au Marekani ila nilishindwa kwasababu nilijipanga sana na hatimae nikajikuta nimeshachoka na sikuweza tena kuikabiri hio mikiki mikiki

Wakati nafanya kazi niliweka sana pesa na baadae nilizimaliza fedha zote kwa kujitibia maradhi na kupambana na matatizo mbali mbali.

Babu akaendelea kunisimulia huku akinisititizia ya kuwa mipango sio matumizi na kupanga bila kuanza ni sawa sawa na hakuna.

Kiukweli babu alikua ananiambia vitu vikubwa sana na wakati huo nilikuwa bado ni kijana mdogo sana ila kidogo kidogo nilikua namuelewa.

Anyway tuache story za mimi na babu hakika ilikuwa ni zamani sana

Sasa acha tuyazungumze ya leo.

Ni ukweli yakuwa tunatafuta maisha sana lakini wengi bado hatuja jua tunatafuta maisha yapi na wapi, lini tutayatumia maana hakuna sayari nyingine ya kukitumia ulicho kipata duniani.

Basi hata sasa yatupasa kuwa na mipango inayoeleza ukomo wa muda maana tunaweza tukatafuta vingi sana na tukakosa muda wa kuvitumia.

Tunapaswa kupambana na kufanya jitihada kubwa za kuhakikisha tunayapata maisha na wakati huo huo tukiendelea kuyaishi maisha.

Kuweza kujikimu ki makazi, malazi na chakula ni ishara tosha ya kuwa tunaishi.

Basi kama ndivyo yatupasa tuendelee kuishi wakati tunatafuta maisha hakuna maisha mapya na tofauti zaidi ya hayo unayoishi cha zaidi kitakachoongezeka au kupungua ni mtindo wa maisha.

Basi tujifunze yakuwa hata nyakati hizi sisi tunaishi maisha

Wakati unatafuta maisha usisahau kuyaishi maisha yako

Tuendelee kuishi wapendwa

MIMI NI MR [emoji106]
Raphael Mtokambali[emoji3578][emoji3578]
Mtokambali huyu wa TAG au?

Anyways you got a point, saivi natafuta maisha ya wanangu wakati nayaishi maisha yangu
 
Thread of the month! Kwangu mimi huu ndiyo Uzi uliobora mwezi November,hongera Sana mkuu. 🙏🙏🙏
 
Haya ni mawazo ya MTU aliejitambua yeye ni nani,yuko hapa duniani kwa sababu gani?na nn anapaswa kufanya.

Kuna watu hawajawahi kuishi.tangu wapate akili na kuanza kujitegemea wao ni mapambano na maisha mwanzo mwisho hawana muda wa kupumzika,hawana weekend,hawana likizo.

Wengine,hata akiumwa kama ni muajiriwa anaona heri akafie kazini kuliko kujipa muda wa kurecover.
All in all,hapa duniani tunapita tu na tutaacha kila kitu.uwe na Mali,Pesa,watoto,mke,mume nk nk ni vya kupita tu.
Tafuta kadri ya uwezo wako jipe muda wa kuabudu,kupumzika,na kufurahia uwepo wako hapa duniani mana mafanikio nayo ni majaaliwa.

So mkuu mtoa mada nimekuelewa asante kwa ushauri mzuri.
 
Back
Top Bottom