wakati unatumia chombo hiki ulikuwa wapi?

wakati unatumia chombo hiki ulikuwa wapi?

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
FB_IMG_16570025357886867.jpg
nakumbuka hii ndo ilikuwaga inanikera kuniamsha tu.

wenzangu mlikuwa wapi au darasa la ngapi, ata kazini?
 
Miaka inaenda sana, tumetoka mbali sana. Hizi ndoo zilitukuza.
 
Labda uniambie shamba boy wenu alikuwa anatumia hiyo akikamulia n'gombe maziwa toto la kishua kama wewe umetumia hii kitu mbona unataka utochore bibie
Kwanza ulikuwa unakatazwa kulishika usijepatwa na tetenasi
 
Zamani plastic material zilikuwa gharama kuliko haya mabati,now things are vice versa
 
Nilikua nikiona mafundi nyumba wakitumia hiki chombo kuchanganyia simenti
 
Back
Top Bottom