BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
karibu. And a gentleman will stop when told so, and he will never have sex with a woman when he knows she is not enjoying. These ar the men i respect.
Karibu. And a gentleman will stop when told so, and he will never have sex with a woman when he knows she is not enjoying. These ar the men I respect.
Absolutely.................... .
mkuu kwenye heading yako umeshaweka neno rape..., sasa kwanini isiwe rape..?
Hata kama mtu alikuwa hataki kufanya tendo ila ukampa kinywaji kushusha inhibitions zake ili akubali, bado hio ni rape.., pia hata kama ulimforce kwa mwanzo lakini katikati akanogewa hio pia bado ni rape.
respect? what respect.....................huku unaninyonya ulimi na kunilembulia huku unasema hutaki......inayofanana na unanitaka......nikueleweje kama siyo geresha zako lol.........nikuachie khalafu kesho unicheke..........
huku zimewiva?.........na zinavutia lol......kuna hukumu moja hapa nchini mahakama kuu ilisema ya kuwa kitendo cha mwanamke kukubali kulala kitanda kimoja na mwanaumme kilimsababishia maumivu yule mwanaumme na hivyo alipomwingilia yuel binti bila ya ridhaa yake ihesabike kuwa ni suala la wille provocation..............................hivi kitandani kwangu ukilalal unafikiri utapona?.......yaani subiria mabao tena ya nguvu mengineyo mahakama itatuamulia.......
kwanza mimi nataka mtu aliyemahiri kwa lugha ya nchi yetu anitafsirie maana ya neno rape.
Pili nataka aloanzisha hii issue anifafanulie pale anaposema "wakati date rape inapokuwa sio ubakaji". Kama si ubakaji kwa nini inaitwa rape? au kuna neno rape katika kiswahili lenye maana nyengine zaidi ya ubakaji?
Tatu kwa nini tunatumia kiingilishi wakati hatukijui uzuri? kuna kosa gani kusema kiswahili?
Nne: tafsiri ya kubaka kwa ufupi tu ni kumuingilia kimwili mtu (mwanamme, mwanamke, au mtoto) kwa kutumia nguvu na bila ridhaa ya anaeingiliwa. Kwa mtoto hata kama atatoa ridhaa bado inahisabiwa ni kubaka. Maneno "kutumia nguvu bila ya ridhaa" ni muhimu hapa kwani kuna watu humu duniani wenye fantasy za maajabu inapokuja kwenye sex,, amini usiamini lakini wapo watu katika dunia hii ambao wana act kuwa wanabakwa na wapenzi wao, ajabu lakini ni kweli. kama huamini do search on internet na utaona.
.....arrrgghhh, mvuto wa nje tu huo kaka....yanini kuharibu urafiki, ushemeji nk sababu ya 'mkojo?'...
mw'mke anapokataa ana sababu zake nyingi za msingi, ikiwemo mimba, STD...na hata Chuki kwako na
uaminifu mliojijengea...
ok usimuachie halafu kesho usilie akikuletea polisi nyumbani kwako, na kama utajibu majibu hayo kwa polisi basi ninakuhakikishia unakwenda keko kusukuma ukuta for sure. Kazi kwako kusuka au kunyoa.
Hapa umelonga mkuu....hii ipo sana kwenye jamii yetu hasa domestic rape so common. Nikiwa mke or gf doesn't give a man a right to force when I don't feel like.
Kama mmoja kalazimisha basi ni ubakaji. .NUKTA.
Rape manake ni kuwe na penetration ya penis into the vagina. Hii ni sexual assault. Yote mawili uhalali wake kuwa makosa ni 'unwillingness of one of the parties to participate'. So hiyo ni shambulio la aibu. Date rape inakuwa sio rape pale ambapo unamvamia mwenzio na anarespond to the end.
Ruta, hata kama nimekuja kwako, nikaoga na kupanda kitandani kwako haikupi uhalali wa kufanya ngono na mie kwa lazma.
Huyo mwanamke alikuwa anataka sema alikuwa anazuga tu. Asitusingizie kuwa tumemrape
binti anadai baada ya kudu kuwa ile ilikuwa ni date rape lakini mimi naona nilikuwa nina ridhaa yake......mabusu yake na mipapaso ya kuniamsha mahanjamu.......lol
...Ameen, Mungu aendelee kunilinda hisia zangu za kuzikataa 'mbichi hizi'....
rape manake ni kuwe na penetration ya penis into the vagina? Una uhakika? Umepata wapi tafsiri hii? Hili ndio tatizo letu watanzania inapokuja katika suali hili la rape/ubakaji. Tunafikiri ni mwanamke tu ndie anaebakwa na kwa hivyo kama huyu ndugu alivyosema ni penetration ya penis into vagina. Kwa hivyo ukitumia nguvu kumuingilia mwanamke kwa nyuma sio rape?
Utumiaji wa nguvu wa kumuingilia binaadamu mwengine mwanamke au mwanamme kwenye vagina au anus bila ya ridhaa ya anaeingiliwa hiyo ni rape/ubakaji. Haimaliziki hapo kwani pia ni rape pale mwanamke au mwanamme anapouingiza uume wa mwanamme mwengine katika vigina au anus yake bila ya ridhaa ya mwanamme husika hiyo pia ni rape.
Kama hamjawahi kusikia mwanamke na ******* kufungwa au kushitakiwa kwa kosa la kumrape mwanamme soma mtandaoni utaona.
I hope and pray that this is not the mentality of all my fellow tanzania brothers. NO means NO period!!!!
Rape manake ni kuwe na penetration ya penis into the vagina? una uhakika? umepata wapi tafsiri hii? Hili ndio tatizo letu watanzania inapokuja katika suali hili la rape/ubakaji. Tunafikiri ni mwanamke tu ndie anaebakwa na kwa hivyo kama huyu ndugu alivyosema ni penetration ya penis into vagina. Kwa hivyo ukitumia nguvu kumuingilia mwanamke kwa nyuma sio rape?
Utumiaji wa nguvu wa kumuingilia binaadamu mwengine mwanamke au mwanamme kwenye vagina au anus bila ya ridhaa ya anaeingiliwa hiyo ni rape/ubakaji. Haimaliziki hapo kwani pia ni rape pale mwanamke au mwanamme anapouingiza uume wa mwanamme mwengine katika vigina au anus yake bila ya ridhaa ya mwanamme husika hiyo pia ni rape.
Kama hamjawahi kusikia mwanamke na ******* kufungwa au kushitakiwa kwa kosa la kumrape mwanamme soma mtandaoni utaona.