Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.

Ushauri kwa serikali.

Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji wa silaha hivo uhakika wa taifa hili miaka 50 ijao kua hamna.

Changamoto kama ugaidi mipakani, msumbiji, al shababu wakitokea kenya na somalia, ADF kutoka CONGO, M23 kutoka rwanda na bila kusahau ugaidi wa ndani kama Kibiti, mapango ya Amboni na ule ulitokea Mwanza.

Kupakana na nchi maaduni ambazo zinatumika na wamagharibi kuvamia nchi kupora malighafi kama Uganda na rwanda na sasa hivi Kenya imeongezeka.

Kwanini nchi isianze kuzalisha hata drone moja kwa mwaka.miaka kadhaa hatuwezi kua kama tulivyo.

Niwakumbushe tu:
  • Drone za iran na uturuki zilibadili vita ya Tigray dhidi ya ethiopia. Ethiopia ilikua ishazidiwa.
  • Drone zilibadili vita Azebajan na Amernia.
  • Drone hizo hizo ziliwazidia russia na kuwazuia kufika kivu.
  • Drone Drone drone

Drone: Ndege sizizo na rubani


View: https://x.com/sambendett/status/1818302307903398220
 
Sasa Drone za nini kwani Tanzania toka lini imekuwa taifa tishio hapa duniani. Hatujafikia capacity ya kusema tuimarishe ulinzi we have nothing special to be threatened but full of stupidity.
 
Kwanza hatuna wabunifu na lingine ni kama watu wameridhika na maisha waliyonayo hata matajiri wakubwa ndio hao wanaotengeneza juice na kuingia top 10
Angalia Top 10 ya US sasa ni mwendo wa technology tu

Tunafurahi soda tu
Serikali badala ya kuwekeza kwa vijana wakajifunze nje wanawachora tu
Uwezo wa kuziomba Serikali zingine kuwapokea watoto wetu zipo nyingi sana Kama Rais anataka
Na Mabalozi sijui kazi huwa zipi
 
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.

Ushauri kwa serikali.

Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji wa silaha hivo uhakika wa taifa hili miaka 50 ijao kua hamna.

Changamoto kama ugaidi mipakani, msumbiji, al shababu wakitokea kenya na somalia, ADF kutoka CONGO, M23 kutoka rwanda na bila kusahau ugaidi wa ndani kama Kibiti, mapango ya Amboni na ule ulitokea Mwanza.

Kupakana na nchi maaduni ambazo zinatumika na wamagharibi kuvamia nchi kupora malighafi kama Uganda na rwanda na sasa hivi Kenya imeongezeka.

Kwanini nchi isianze kuzalisha hata drone moja kwa mwaka.miaka kadhaa hatuwezi kua kama tulivyo.

Niwakumbushe tu:
  • Drone za iran na uturuki zilibadili vita ya Tigray dhidi ya ethiopia. Ethiopia ilikua ishazidiwa.
  • Drone zilibadili vita Azebajan na Amernia.
  • Drone hizo hizo ziliwazidia russia na kuwazuia kufika kivu.
  • Drone Drone drone

Drone: Ndege sizizo na rubani


View: https://x.com/sambendett/status/1818302307903398220

Toothpick au chupi hamuwezi unawaza droniiii
 
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.

Ushauri kwa serikali.

Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji wa silaha hivo uhakika wa taifa hili miaka 50 ijao kua hamna.

Changamoto kama ugaidi mipakani, msumbiji, al shababu wakitokea kenya na somalia, ADF kutoka CONGO, M23 kutoka rwanda na bila kusahau ugaidi wa ndani kama Kibiti, mapango ya Amboni na ule ulitokea Mwanza.

Kupakana na nchi maaduni ambazo zinatumika na wamagharibi kuvamia nchi kupora malighafi kama Uganda na rwanda na sasa hivi Kenya imeongezeka.

Kwanini nchi isianze kuzalisha hata drone moja kwa mwaka.miaka kadhaa hatuwezi kua kama tulivyo.

Niwakumbushe tu:
  • Drone za iran na uturuki zilibadili vita ya Tigray dhidi ya ethiopia. Ethiopia ilikua ishazidiwa.
  • Drone zilibadili vita Azebajan na Amernia.
  • Drone hizo hizo ziliwazidia russia na kuwazuia kufika kivu.
  • Drone Drone drone

Drone: Ndege sizizo na rubani


View: https://x.com/sambendett/status/1818302307903398220

Tengeneza moja Kwanza ww
 
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.

Ushauri kwa serikali.

Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji wa silaha hivo uhakika wa taifa hili miaka 50 ijao kua hamna.

Changamoto kama ugaidi mipakani, msumbiji, al shababu wakitokea kenya na somalia, ADF kutoka CONGO, M23 kutoka rwanda na bila kusahau ugaidi wa ndani kama Kibiti, mapango ya Amboni na ule ulitokea Mwanza.

Kupakana na nchi maaduni ambazo zinatumika na wamagharibi kuvamia nchi kupora malighafi kama Uganda na rwanda na sasa hivi Kenya imeongezeka.

Kwanini nchi isianze kuzalisha hata drone moja kwa mwaka.miaka kadhaa hatuwezi kua kama tulivyo.

Niwakumbushe tu:
  • Drone za iran na uturuki zilibadili vita ya Tigray dhidi ya ethiopia. Ethiopia ilikua ishazidiwa.
  • Drone zilibadili vita Azebajan na Amernia.
  • Drone hizo hizo ziliwazidia russia na kuwazuia kufika kivu.
  • Drone Drone drone

Drone: Ndege sizizo na rubani


View: https://x.com/sambendett/status/1818302307903398220

pamoja na drones zote hizo, hawajamshinda ukrain hadi kesho, bado vita inaendelea.
 
Ushauri wako ni mzuri BUT Watanzania wengi ni FUNCTIONAL ILLITERATE, Yaani tumejaza vitu vingi kichwani ila namna ya kuvitumia ni ZERO kabisa.

Tupambane kwanza kuondoa UJINGA, MARADHI na UMASIKINI.
 
Back
Top Bottom