Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Ni woga wetu na serikali isiyotaka kufungua milango
Kila ukitaka kufanya kitu utaambiwa upite ofisi zaidi ya 10 na zote utazungushwa mpaka ukome na kuachana nayo

Bashe alisema lazima ofisi zote ziwe under one roof sijui kama iliqezekana enzi za Magu

Sisi ukiritimba ndio unatufanya tuwe nyuma
Nadhani umewekwa kwa makusudi
 
Nimeona ajira za jwtz...wanahitaji form 4 na form 6...
Sijui tunaogopo nn kuajiri wasomi
 
Kuna mwanafunzi wa DIT alitengenezaga drone yake sijui
Aliishia wapi....
Sema tz nguvu kubwa imeelekezwa kwa machawa na wakata mauno

Ova
Daa utakuta yuko jela kwa kufanya hilo jaribio
Kwa nchi masikini sintashangaa akitishiwa pia
 
Kuna mwanafunzi wa DIT alitengenezaga drone yake sijui
Aliishia wapi....
Sema tz nguvu kubwa imeelekezwa kwa machawa na wakata mauno

Ova

UVCCM: Bodaboda Ndio Injini ya Ukuaji Uchumi wa Taifa la Tanzania Ndio maana Serikali ya Awamu ya 6 ya Dr Samia Inawapenda

Ndio akili hizi
 
Back
Top Bottom