Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Pole dear... kesho utasherehekea ukiwa na kauchovu ka safari ..ila cha muhimu kufika salamaHizo za lift nilitafuta moja tu nikapata la kuondoka jumamosi. Nikampa mtu seat yangu baada ya kuahidiwa kuna gari jana. Sasa hiyo lift ya jana shoga ndo mpaka leo nipo mjini. Kuna mtu ananitafutia lakini. Inshallah kesho nitasafiri
nakwambia hata fuso ningepandaaa hahaha, ilmradi pesa ipo. asiwe mwoga tuIla ni kweli kipindi hiki cha sikukuu Costa zinakuwepo za kutosha tu sema kam hapendi safari za kuunga atapata shda maana huwa zinachosha....ila kuna Costa ambazo huwa zinafanya safari kati ya Rombo na dar kipind cha Christmas kama hiv
Asante mpenzPole dear... kesho utasherehekea ukiwa na kauchovu ka safari ..ila cha muhimu kufika salama
Ahsante mkuu... Nitakaribia tarakea siku moja...halafu mamsera kuna nyama matata za mbuzi pale kwa mwarabu na shia yaan huwa nataman nitoke faster nikale hapo...ila naona soo hahahahahahahahahahhahahahah hapo mbuzi kama zotee, mamsera nawakubali hapo tuu, aisee next season if God grants us ntakuja usijali.
karibu mkuu na tarakea ndo maskani
Hahahahahahahahahah pendo we njoo tu nyumbani sasapale ubungo kibo kuna gari pia zinapakiaga abiria, hata jioni ama usiku, mimi hata fuso ningepanda, hahahah
hhahaha pole my dear. nitakuja hakika, utaniambia tuu wataka kutembea wapi, mkuu aa tarakea. karibu nduguAhsante mkuu... Nitakaribia tarakea siku moja...halafu mamsera kuna nyama matata za mbuzi pale kwa mwarabu na shia yaan huwa nataman nitoke faster nikale hapo...ila naona soo hahahahahahahahahah
woooi, ngiisha ku, ngikeri kasini, hahahaha ukundi ngidishirwe? nyaaaHahahahahahahahahah pendo we njoo tu nyumbani sasa
woooi, ngiisha ku, ngikeri kasini, hahahaha ukundi ngidishirwe? nyaaa
hhahaha pole my dear. nitakuja hakika, utaniambia tuu wataka kutembea wapi, mkuu aa tarakea. karibu ndugu
Niko Usangi Mwanga Kilimnjaro Tanzania upareni hala msudu makandeniKiukweli kabisa inauma kukosa fursa kama hii ya kujumuika na familia. Ni wakati wa kujumuika na kujichunguza umepiga hatua gani katika maisha na kusahihisha pale ulipokosea. Akili inakua imetulia kabisaa.
Nawaonea sana wivu waliobahatika kwenda mikoani. Warombo wenzangu mutuwakilishe vyema huko. Tunajua nauli ya kurudi mjini haikosekaniki kabisa[emoji23][emoji23] mkikata mikungu miwili ama mitatu nauli tayari ya kurudi mjini.
Sisi tumeona tubaki tunauza uza bwana tukifunga wote maduka wazaramo watakosa huduma. Zaidi namiss parokiani kwetu mkuu na kona zile za kutoka marangu mtoni, umkuu, mashati, usseri mpaka tarakea. Nitawamiss machalii wangu wa ara na moh town kwa ujumla.
Niwatakie heri ya sikukuu ya Christmas na mwaka mpya wanakaskazini wote na wanajamii media kwa ujumla.
With love... PendoView attachment 975990
hahahaha mbudhaa, dukeri ustali maakwa. na haadiha saidi ni vasungu veisha. adhuali dukashinga cheva aja?Hahahahahahahahahah
Waai osha chapu...jumatanu uveeuya ojimejishirwa Ku...halafu kwanyi boss shwaafo ve neenda kaa Christmas fo?
hahahaha haya mbe, kakashaNiko Usangi Mwanga Kilimnjaro Tanzania upareni hala msudu makandeni
Karibunii
Mkuu niko Upareni kichaga sikifahamugu vzrhahahaha haya mbe, kakasha
Kolya iu ustali kyevaku...utasheejishirwa kasi bure maisha ave maumu...vumilia tiki maakwa pasaka wejemeinengwa kalikiso ukasha na kaa chapuhahahaha mbudhaa, dukeri ustali maakwa. na haadiha saidi ni vasungu veisha. adhuali dukashinga cheva aja?
hahahaha haya mbe, kakasha
Afuu ndizi za mshare zinaenda kupotea soon baada ya ujio wa malindiMamsera hapa ndugu...karibu mbege halafu kuna ndizi nzuri za mshare hapa hahahahahahahahahah
Mkuu bado zipo za kutosha tu sema malindi zimetapakaa sana....ndizi ambazo zipo mbioni kupotea ni "mshakova" hizi sasa hivi ni adimuAfuu ndizi za mshare zinaenda kupotea soon baada ya ujio wa malindi
Mshakova..ndio zip izoo(kitarasa zinatoa utomvu kama damu, au mkonosi)Mkuu bado zipo za kutosha tu sema malindi zimetapakaa sana....ndizi ambazo zipo mbioni kupotea ni "mshakova" hizi sasa hivi ni adimu
Mshakova zinafanana sana na mshare sema zenyewe mikungu yake haiwi mikubwa sana halafu inakuwa na ndizi zilizotawanyikaMshakova..ndio zip izoo(kitarasa zinatoa utomvu kama damu, au mkonosi)
Fine..karibu Marangu Mamba tule sikuku momrasa.....Mshakova zinafanana sana na mshare sema zenyewe mikungu yake haiwi mikubwa sana halafu inakuwa na ndizi zilizotawanyika