Kiukweli kabisa inauma kukosa fursa kama hii ya kujumuika na familia. Ni wakati wa kujumuika na kujichunguza umepiga hatua gani katika maisha na kusahihisha pale ulipokosea. Akili inakua imetulia kabisaa.
Nawaonea sana wivu waliobahatika kwenda mikoani. Warombo wenzangu mutuwakilishe vyema huko. Tunajua nauli ya kurudi mjini haikosekaniki kabisa[emoji23][emoji23] mkikata mikungu miwili ama mitatu nauli tayari ya kurudi mjini.
Sisi tumeona tubaki tunauza uza bwana tukifunga wote maduka wazaramo watakosa huduma. Zaidi namiss parokiani kwetu mkuu na kona zile za kutoka marangu mtoni, umkuu, mashati, usseri mpaka tarakea. Nitawamiss machalii wangu wa ara na moh town kwa ujumla.
Niwatakie heri ya sikukuu ya Christmas na mwaka mpya wanakaskazini wote na wanajamii media kwa ujumla.
With love... Pendo
View attachment 975990