mfanyakazfake
Member
- Feb 14, 2023
- 23
- 42
Spika wa bunge, msemaji wa serikali na Waziri mkuu wanamjibu nani kuhusiana na hili sakata la bandari kuuzwa?
Je wanawajibu wananchi au Wabunge waliuopotasha umma au wanawajibu DP World? Tunahitaji kujua walikosimama wao wakati wakitoa hoja zao.
Sina hakika kama wanajua wanachokifanya! kama wanajua sidhani kama wana nia njema na Taifa letu! Na kama wana nia ovu ni wakati wa wao kujitathmini kama wanafaa kwa nyadhifa walizonazo.?
Je wanawajibu wananchi au Wabunge waliuopotasha umma au wanawajibu DP World? Tunahitaji kujua walikosimama wao wakati wakitoa hoja zao.
Sina hakika kama wanajua wanachokifanya! kama wanajua sidhani kama wana nia njema na Taifa letu! Na kama wana nia ovu ni wakati wa wao kujitathmini kama wanafaa kwa nyadhifa walizonazo.?