Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Kwa kweli kero kubwa ni ku.ma kutoa harufu mbaya kama ya ng'onda. Inakata sana stim. Halaf sijui wahusika hawaisikii hiyo harufu au? na usiombe uingize dyudyu kwenye k hlf uitoe bwana bwana,,,,hiyo harufu mbaya hata haielezeki. hlf unakuta mdada mwenyew mrembo wa haja tu
 
Aiseee.
 
Mbona unamashine kubwa hivi yaani najiskia vibaya alaf unakuta kanaogopa ogopa utafikiri inafika kwenye figo
 
Yamenikuta kwa demu fulan hivi pisi kali mtoto macho malegevu
 
Niliwah kumtoroka demu kwaajili ya hiyo harufu. Mpaka leo ananiangaliaga tu. N mrembo
 
Hivi hizo harufu zao huwa wanazisikia kweli ?
Hata mimi huwa nashangaa yaani, demu harufu ya K halafu ukishindwa kupafomu anaanza kutangaza kuwa huwezi wakati wewe unamtunzia siri ya kunuka K.

Wadada jichunguzeni mara kwa mara na muwe wasafi hasaa!

Harufu ya K mbaya sana aiseee! Chumba kizima kinazagaa uvundo!
 
Ile mtu anataka kupiz asa ananguruma kama simba then anachapa usingiz saa zima inakeraa
[emoji23][emoji23] abcdefg..... hijkl(meno pipi)... (menomeno pipi)... rst, uvwxyz.
 
Kuulizwa kama bado tu .mda huo yeye kasha fika zake.katulia ata sauti hatoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…