Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?



Hapo U.T.I. kama yote [emoji108]

Kwenye anus kuna vijidudu Mungu kaviweka kulinda hiyo sehemu kwa makusudi mema.

Kitendo cha kugusa anus kisha kwenda kuingiza dushe kwenye K hupelekea kusababisha ugonjwa wa U. T. I.

Hata jinsi ya kunawa iwapo mtu atatawaza kwa kuanzia nyuma kwenda mbele kwenye K ni wazi kuwa mtu huyo atakuwa akiugua UTI mara kwa mara.
 
Humu kuna vitu vizito sana, vinapofusha!!
 
Dah so asiporuka ndiyo inazama tigoni hivo mmh, sasa why mpalaze sehemu hatarishi, mbona kuna sehemu nyingi halali za kupalaza zipo why huko.
 
Kama una mjali ukishatoa kwenye tigo kabla hujahamishia kwenye sehemu halali inabid ukaoshe kwanza dyudyu then ndo uendelee ila kutoka kwenye K kwenda tigo hapo hamna shida.

Na ndiyo maana machangu wengi huwa wana UTI za kutosha na kupelekea huko kunuka maana njemba imetoa hela yake huwa halijali likitoa huko kwa Sodoma na Gomora yeye anaweka tu kule kulipopatiwa kibali hajali wala nini mdada apambane na hali yake si kataka hela
 
Kuna moja nliikuta kwa manka mmoja hivi... Siku ya kwanza naenda kumgegeda baada ya maombii yangu kutupiliwa mbali, alinishtukiza kwa meseji inayosomeka NJOO, nkajua nin kinafuata nkaruka muda huo huo adi kwake, kanifungulia mlango nkaingia nlimkuta kajifunga kanga tu. bs tukaanza romance then mgegedo ukaanza nkiwa katikati ya game, kaanza kuuliza maswala ya kazi mara kipato changu kwa siku ni shngpi, FAKEN! alinikata moto kabisaa yule MANK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…