Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc nimecheka kwa sauti kubwa km chizi yaan lol. Wee una nn lakin jomoneeh.
 
[emoji13][emoji13][emoji13] umenichekesha sana! Kuna rafiki wa rafiki yangu aliwahi kutuambia jamaa yake wakati wa mahanjamu anamwambia tulia nikupe raha basi bibie anabaki kama mkaratusi ulioanguka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih.
 
Sex ikiwa Kero what's the Point... Kumbuka hii sio shughuri unashurutishwa bali umependa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…