Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Wewe ndo umesemaUlitaka akualike na wewe?
Yalikuwa maigizo ya kutafuta sifa za kijinga...wakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi
wakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi
Magufuli alichokuwa anafanya ni ushamba na ulimbukeni tuwakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi
Mmepakatwa hadi kwenye kona na badoAlichokuwa anafanya Magufuli ni kusaka kiki za bei rahisi. Wale watu aliokuwa anawaita kushiriki kwenye utiaja saini ya hiyo mikataba, hakuna hata mmoja aliyeona nini kimeandikwa humo ndani. Wote walikuwa wanahadithiwa tu kilichomo ndani, lakini hakuna aliyeshudua hata kurasa 2 za kilichomo ndani. Kwa bahati mbaya wenye uelewa mdogo kama nyie mliamini ule ndio uwazi wa mikataba!
Kazikwe nae sasa kenge wewewakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi
Uwazi hatuuwezi.kipindi Cha magufuli nchi ilikuwa inakopa je hiyo mikataba ilisemwa?wakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi
Magufuli alichokuwa anafanya ni ushamba na ulimbukeni tu
Kila zama na kitabu chake kama ww bado uko na zama za magufuli nenda chato ukazikwe naeWakati Magufuli akiwa Rais kwenye tukio kama la utilianaji saini wa mradi wa LNG tungeona wabunge, mawaziri, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama nk.
Tungesikia nguvu ya ushindi ya Watanzania wakipewa sauti ya kizalendo lkn kwa Sasa hv wanatiliana saini utafikiri Mali yao binafsi.