Sasa kama ni hivyo post yako yote inakosa maana.Kwani mafuriko ya Dar yanaathiri wakazi wa bondeni tu? Sikujua kuwa Posta Mpya iko bondeni
Point zuri sana. Siku hizi serikali za mitaa wanatekeleza miradi ya maendeleo aidha kwa maagizo toka juu au kwa ku-promote CCM. Mbaya zaidi ni pale madiwani karibu wote ni wa chama tawala.Mkuu shida siyo hayo madaraja na ma-flyover,shida ipo kwenye Policy(sera)za nchi,leo nilimsikiliza muheshimiwa Rais kwenye kampeni pale Kawe akiwaambia wananchi wa kawe kwamba serikali itatoa bilioni 5 kwa ajili ya marekebisho ya miundombinu nadhani ya kawe,.
Hapa ndipo tatizo lilipo,haiwezekani Jiji la Dar es salaam halina mamlaka yake kisera na kikanuni ya kufanya mambo yake ya maendeleo mpaka Rais aamue nini wafanye!,This is Big problem!,Sasa fikiria kama Rais ndiye mwenye mamlaka ya kuamua ni nini afanye wapi na kwa wakati gani,we unadhani tutafika?,Majiji au mikoa yote ilipaswa yajiendeshe kwa mapato yake ya ndani kwa ajili ya maendeleo ya mkoa /jiji husika,serikali kuu ilipaswa ifanye mambo makubwa ya nchi lakini haya ya miundo mbinu,mitaro na madaraja ya hapa Dar es salaam ilipaswa yafanyike pasipo kuingiliwa na serikali kuu!!,VINGINEVYO DAR ES SALAAM ITAENDELEA KUWA JALALA,DAMPO,SHIMO LA MAJI TAKA MPAKA TUKOME!
Kila kitu kwenye hii nchi kimekaa kisiasa,hata kama kinajengwa kidaraja kidogo tu lazima utawakuta watendaji wa serikali wakisifia sana "TUNAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTUPATIA HIZI MILIONI 50 KWA AJILI YA UJENZI WA ILI DARAJA,WANANCHI WAMETESEKA KWA MUDA MREFU NA HAWAKUWA NA MTETEZI,ILA RAIS MAGUFULI NI KIONGOZI WA WANYONGE,KAWAKUMBUKA WATU WA NACHINGWEA",Aisee hizi kauli huwa sizipendi hata kidogo!
Serikali imeacha wajibu wa kutawala, muda mwingi inautumia kwenye siasa. Taasisi zote za sarikali zimesiasishwa, siasa imebinafsisha taaluma zote. Tatizo lililoifikisha hapo Dar, na miji mingine mingi ni mipango miji mibovu, na mipango iliodunguliwa na wanasiasa kujipa maeneo yasiyo ya makazi na kuanza kuyajenga, na maji kukosa mwelekeo.View attachment 1599984
Suluhisho hapa ni hawa walalahoi kujenga nyumba zao kwenye flyover ya Mfugale au Ubungo!
Hilo ndio jambo ambalo mlipaswa kuwasikiliza wapinzani pale waliposema madaraja juu ya bahari ya Hindi kwenda Masaki sio kipaombele. Tatizo mliwakatisha na kuwazomea kabla hawajajieleza.sasa kama ni hivyo post yako yote inakosa maana.
kwahiyo kipaumbele cha watu wa dsm ni kipi??
Hapana Mkuu, hiyo sio mentality nzuri. KUmbuka mashabiki wa kisiasa wapo CCM na hata Chadema. Kusema flyover ya Dar haimsaidii mtu wa Bukoba, kwani MV Kagera inamsaidiaje mtu wa kwetu Kishimundu?Kweli kabisa, tena waambie na wale wanaolalamika foleni wasiendelee kulalamika maana jitihada za kuondoa foleni wanazibeza. Maana nimekuta mada eti wanasema wana jambo lao tarehe 28 wakati wanakuja kusema umu JF flyover ya Ubguno haimsaidii mtu wa Bukoba 😀
Hata foleni za mwaka mzima ni udhaifu wa serikali. Haina sera nzuri ya usafiri wa umma. Angalia mabasi ya mwendo kasi, hayana tofauti na mabasi ya kwenda mikoani kuhusu uwezo wa ubebaji. Wanaosimulia mabasi ya Icarus enzi za UDA, yaliokuwa na uwezo wa kuacha kituo wazi kilicho kuwa na abiria zaidi ya mia mbili!Mvua zinanyesha kwa msimu but foleni ipo mwaka mzima! Hasara inayosababishwa na foleni nikubwa ukilonganisha na mafuriko pia watu tunawaambia hameni mnang'ang'ania alafu mnakuja kipiga kelele hapa.
Uliiona foreni ya jana?Hilo ndio jambo ambalo mlipaswa kuwasikiliza wapinzani pale waliposema madaraja juu ya bahari ya Hindi kwenda Masaki sio kipaombele. Tatizo mliwakatisha na kuwazomea kabla hawajajieleza.
Hujui unachoongea mkuu,sijui kama unaishi dar ama wapi.Hapana Mkuu, hiyo sio mentality nzuri. KUmbuka mashabiki wa kisiasa wapo CCM na hata Chadema. Kusema flyover ya Dar haimsaidii mtu wa Bukoba, kwani MV Kagera inamsaidiaje mtu wa kwetu Kishimundu?
Suala ni kwamba, kwa watu wa Dar es Salaam wenyewe, flyover ni muhimu kuwa nayo, lakini kama tungekaa na kufanya umakini wa kuamua kati ya flyover na kutengeneza system ya maji ya mvua ambayo itaondoa kabisa tatizo la mafuriko Dar, tungeamua nini kianze?
Mvua zinanyesha kwa msimu but foleni ipo mwaka mzima! Hasara inayosababishwa na foleni nikubwa ukilonganisha na mafuriko pia watu tunawaambia hameni mnang'ang'ania alafu mnakuja kipiga kelele hapa.
Bado hujaelewa point yangu...Ingekuwa wewe ndio Rais hao watu wa jangwani ungewasaidiaje kwa mfano?
Maana hao walishaambiwa wahame hapo hilo eneo sio zuri kwa makazi ya watu na wakapewa viwanja mabwepande wakauza na kurudi tena hapo jangwani ili mradi tu wakae karibu na mjini
Bado hujaelewa point yangu...
Ni kwamba tunapaswa kujenga daraja jangwani.. Lianzie Faya hadi Mapipa.
Huoni mvua zikinyesha mawasiliano yanakata kati ya Magomeni na Kariakoo???
Me sijaongelea wakaazi wa Jangwani...
Kuna ofisi za DART pia pale...
Hukuwa umenielewa Mkuu...
Ndio hoja hii? Duh kazi tunayoUnaakili za kipuuzi sana ,hujatembea umekulia buza ukasoma buza na bado utafia buza
Ulichocha kueleza ni kuwa ishu za mitaro na sewage ni kazi za halimashauri na sio serikali kuu. Halimashauri za jiji la Dar kwa miaka 10 sasa zimekuwa zikiendeshwa na chama/vyama gani?Unaakili za kipuuzi sana ,hujatembea umekulia buza ukasoma buza na bado utafia buza