Sasa aliokwambia nchi inatakiwa kuzuia natural calamities ni nani?
Kinachoweza kufanyika ni kuwa na mamlaka ya serikali kama TMA ambayo inasaidia kusoma alama za nyakati kuhusiana na hali ya hewa na kutoa tahadhari mapema.
Hao ma shwaini wa Jangwani wameshapigiwa kelele kwa miaka na miaka. Wahame ila wanajitia ujuaji😂😂😂 waache wapate hasara. Niko na Magufuli katika hili.