ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini..
Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.
Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..
Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.
Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..