Wakati Wa Tanzania Wakipinga Tozo ya Barabara za TARURA, Wafanyakazi wa Umma Kenya Kukatwa Asilimia 3% ya Mishahara Kujengea Nyumba za Watu Maskini

Wakati Wa Tanzania Wakipinga Tozo ya Barabara za TARURA, Wafanyakazi wa Umma Kenya Kukatwa Asilimia 3% ya Mishahara Kujengea Nyumba za Watu Maskini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini..

Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.

Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..

 
Sawa, wakatwe tu . Sijui kwanini uwa siwaone huruma watumishi wa serikali nawaona kama ni mizigo tu. Hawana KPIs wapo wapo tu wanasubiri kustaafu na kusubiri pensheni. Hawana msaada wowote kwa jamii au wafanyabiashara.
 
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini..

Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.

Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..

Siku ukiacha kula kwa shemejiako ndio utaona ubaya wa hayo matozo yanayoishia kuliwa na mafisadi.
 
Post kama hizi huwa nazichukulia tu kama za watu ambao wana andika tu bila research.
Hivi unajua mafuta hadi yafike Tanzania ni wastani wa shs 1900 kwa lita Ila yanawekwa kodi karibia ya shs 1000 kwa lita na kuzwa kwenye pump karibia shs 3000? kwa Lita
Sina hakika kama unajua ulicho kiandika....
Sh.100 vs 10,000 ipi kubwa?
 
yaani huna uwezo wa kuchambua mambo, nimekuambia Tanzania lita ya mafuta ina kodi karibia ya shs 1000.
Inamaana basi likiweka mafuta kwa mara moja tu ( lita 260) limechangia shs 260,000. kwa siku. Ha[o sijaongelea magari madogo madogo.
Kwa hiyo kwa akili yako ndogo unaona Basi kuchangia kodi ya shs 100,000 hadi 300,000 kwa siku kupitia mafuta ni hela ndogo sana hivyo waongezewe 100?
Hata ziwe Kodi 100 so long as ni affordable hakuna shida..

Nchi gani EAC hakuna Kodi kwenye mafuta?
 
Uwez kufaninsha namna kenya /serikali ya kenya inavyo jisimamia na wananchi wanavyoisimamia serikali ufanishe na TANZANIA


Tz hata ikiletw kodi ya choo utekelezaji wa ukusanyi mapato ni [emoji817]% utekelezaji ni[emoji117] 12% had 39%


Na hatujui namn ya kupambana na hawa wez wa pesa za umma
 
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini..

Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.

Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..

Ndo maana nasema sometimes tumieni Akili. Badala ya kuimarisha mifumo ya kudhibiti upotevu wa pesa za Uma mnazidi kuimarisha unyonyaji wa wananchi Kwa kuweka tozo kila eneo ovyoovyo.wewe unatakiwa upigwe vita na kila mtanzania Kwa mawazo yako haya.
 
Ndo maana nasema sometimes tumieni Akili. Badala ya kuimarisha mifumo ya kudhibiti upotevu wa pesa za Uma mnazidi kuimarisha unyonyaji wa wananchi Kwa kuweka tozo kila eneo ovyoovyo.wewe unatakiwa upigwe vita na kila mtanzania Kwa mawazo yako haya.
Vyote vinaenda Kwa pamoja.
 
Mkuu mbona watumishi tunachangiaga mwenge na hatulalamiki huo sio uzalendo pia shughuli za chama tunachangiaga kenya wacha wafanye hivyo maana hata wakichangia wanaona matokeo sisi tukichanga tunaanza ona matajiri wanabishana kwa kuleta bus mpya na scani za mizigo
 
Siku zote wanasiasa wamekazania kunyonya maskini na matabaka mengine huwezi kusikia wameazimia kupunguza mishahara na matumizi yao ili kugharamikia maendeleo kuongeza kodi na tozo ndo kimbilio lao kila uchwao. Tazama 🇹🇿 mashirika ya umma yangeweza kuendeshwa kwa faida kubwa lakini hasara kila siku huduma zenyewe mbovu wakurugenzi wamekalia warsha zisizoisha usimamizi/uendeshaji sifuri.
 
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini..

Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara anazitaka.

Kama Mfanyakazi wa Umma anakatwa Asilimia 3% Kila Mwezi hiyo ni zaidi ya 10,000 Kila Mwezi eti Kwa Ajili ya Kujengea Watu Nyumba kana kwamba huyo Mfanyakazi ndio amesababisha watu kuwa Maskini na kukosa makazi..

Exquisite [emoji7][emoji7]

NCHI INAJENGWA KWA MAUMIVU YA KILA ALIYE RAIA....huo ndio ukweli unaobezwa na "mazwazwa tu".

#SiempreJMT
#MamaHuyooooKajaaaa[emoji7][emoji7][emoji7]
 
Siku ukiacha kula kwa shemejiako ndio utaona ubaya wa hayo matozo yanayoishia kuliwa na mafisadi.
Kumbe wewe ni "sarcastic" eee?!![emoji1787][emoji1787]

Badala ya kumpinga "constructively" unaleta "uzwazwa" eee[emoji16]

#SiempreJMT
 
Kwa hili Ruto kweli hakustaili kabisa kukaa ikulu...Uhuru kweli aliona mbali..nchi ukimpa mlokole ndo madhara yake haya..poleni Sana watumishi wa Kenya...rais kweli mnaye
 
Sis tunakatwa tozo ambayo tuliahidiwa ingekatwa kwa miaka miwili lakini imekuwa endelevu.sasa wakiongeza zingine itakuwa upumbavu
 
Back
Top Bottom