Wakati wa TFF Kuonyesha ‘ Makucha ‘ yake dhidi ya Klabu za ‘ Wahuni ‘ ni huu

Wakati wa TFF Kuonyesha ‘ Makucha ‘ yake dhidi ya Klabu za ‘ Wahuni ‘ ni huu

Kama hujui yanga ni kubwa kuliko Vodacom na TFF.Yanga ni kubwa kuliko serikali kwa sababu unavyoiongelea Yanga unaongelea Taifa la Tanzania.Unaongelea nchi.Hata serikali haiwezi kuifuta Yanga.Labda hujui ni kwa nini ina neno "Africa".Yanga ni Africa.Yanga itadumu milele lakin TFF itapita,serikali itapita.Vodacom itaoita Africa itadumu milele.
 
Kama hujui yanga ni kubwa kuliko Vodacom na TFF.Yanga ni kubwa kuliko serikali kwa sababu unavyoiongelea Yanga unaongelea Taifa la Tanzania.Unaongelea nchi.Hata serikali haiwezi kuifuta Yanga.Labda hujui ni kwa nini ina neno "Africa".Yanga ni Africa.Yanga itadumu milele lakin TFF itapita,serikali itapita.Vodacom itaoita Africa itadumu milele.

Endeleeni tu kujifanya mna ' Akili za Kipa Katoka / Kipumbavu ' ila TFF ya sasa ya Wallace Karia ndiyo itawanyoosheni na mtakoma.
 
Kama Klabu haitaki Kuvalia Jezi yenye Nembo Nyekundu ya Mdhamini ifutwe kabisa

Kama Klabu inatetea ‘ Ukipa Katoka / Upumbavu ‘ wa Kocha wake ifutwe mara moja

Kama Klabu inahamasisha Fujo katika Ligi Kuu ifutwe mara moja

Kama Klabu inataka kuleta ‘ Uintarahamwe / Ugaidi ‘ katika Soka la Tanzania ifutwe mara moja

Kama Klabu inataka Kuipanda Kichwani TFF ifutwe mara moja

Kama Klabu kutwa inahamasisha Uhuni kwa Mashabiki wake ifutwe mara moja

Kama Klabu kila mara inabishana na TFF ifutwe mara moja

Rais wa TFF Wallace Karia huu ndiyo wakati wako na Wewe Kuiga tabia ya Maamuzi Magumu kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Ndugu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli dhidi ya Klabu moja ambayo inajidanganya kuwa bila yenyewe Soka la Tanzania halipo.

Wapenda Soka tumeshaichoka hiyo Klabu na ichukulieni hatua zaidi za Kinidhamu ili wengine wajifunze.
Mlivyong'oa viti mlifutwa? Mlivyowapulizia sumu Al Ahly, Vita mlifutwa?
 
Back
Top Bottom