Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Wakenya wameamua bhana ,ila njaa iko kote kote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu anasumbua nchi!? Yule anayedai watashinda hata kwa "bao la mkono" utamwitaje!? Aisee! Wewe kweli ni mgonjwa wa akili na Mirembe ndio mahali kwako sahihi kuwepo.Kwani huko nchi jirani hakuna hiyo haki bin haki? Si tunaamini haki bin haki inapatikana? Si walifikishana hadi Supreme Court, lakini mambo yako Vilevile. Mwarobaini ni hicho kipengele kuingizwa kwenye katiba yetu. Kitawahusu wa vyama vyote. Mtu akishindwa kwenye uchaguzi mkuu akafanye shughuli zingine na asahau kuja kugombea tena. Watu kama akina Raila na Tundu hawangalisumbua tena nchi zao. Na nchi zingalitulia tuli.
Odinga ni mtu hatari kwenye ustawi wa jamii ya kenya. Mtu umeshindwa, umeenda mahakamani umeshindwa. Sasa ameandaa maandano ili tu kuleta taharuki ili aje atake maridhiano yasiyo na kichwa wala miguu kama hapa kwetu. Eti wameruhusiwa mikutano wakati wakijua ni haki yao halafu wanashangilia. Kwa taarifa yao, CCM kuna watu wana akili sana, mpango wa kuzuia mikutano ulikuwa si wa jpm peke yake kama CDM wanavyofikiri, ni mpango wa CC ya ccm na ndiyo mana mwenyekiti hakuweza kutengua mpaka baada ya miaka miwili kupita. Nadhani pia cdm wamepewa masharti wambomoe jpm katika hotuba zao na kamwe asitajwe mama vibaya. Ni kununuliwa kule kule tu. Bado ndani ya chama kuna hofu kuu ya nguvu ya jpm.Wakati wa uchaguzi wa jirani na ndugu zetu kuna baadhi ya wenzetu Watanzania walisifu sana kuwa wenzetu wako mbali kidemokrasia tujifunze kutoka kwao lakini kwa yanayoendelea kama mambo yenyewe ya demokrasia yako hivyo ni bora tuendelee na katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kuliko kuelekea huko waliko wenzetu kwa sasa.
Mbona Nako huko Maandamano hayeshi!?
Lengo lenu mnataka tu vyeo na kuchumia matumbo yenu
Kenya wanapita stages kuelekea mafanikio,Wakati wa uchaguzi wa jirani na ndugu zetu kuna baadhi ya wenzetu Watanzania walisifu sana kuwa wenzetu wako mbali kidemokrasia tujifunze kutoka kwao lakini kwa yanayoendelea kama mambo yenyewe ya demokrasia yako hivyo ni bora tuendelee na katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kuliko kuelekea huko waliko wenzetu kwa sasa.
Kuandamana siyo tatizo, kulalamika siyo tatizo, kupinga matokeo ya uchaguzi siyo tatizo, alimradi kila kitu kinafanyika kwa taratibu zinazokubalika.Odinga ni mtu hatari kwenye ustawi wa jamii ya kenya. Mtu umeshindwa, umeenda mahakamani umeshindwa. Sasa ameandaa maandano ili tu kuleta taharuki ili aje atake maridhiano yasiyo na kichwa wala miguu kama hapa kwetu. Eti wameruhusiwa mikutano wakati wakijua ni haki yao halafu wanashangilia. Kwa taarifa yao, CCM kuna watu wana akili sana, mpango wa kuzuia mikutano ulikuwa si wa jpm peke yake kama CDM wanavyofikiri, ni mpango wa CC ya ccm na ndiyo mana mwenyekiti hakuweza kutengua mpaka baada ya miaka miwili kupita. Nadhani pia cdm wamepewa masharti wambomoe jpm katika hotuba zao na kamwe asitajwe mama vibaya. Ni kununuliwa kule kule tu. Bado ndani ya chama kuna hofu kuu ya nguvu ya jpm.
Katika jambo ambalo upinzani ungelitumia kwa sasa kupata popular support basi ni kumtaja jpm kwa wema na kuenzi aliyoyafanya, poor them, ama hawajui siasa au, wametanguliza maslahi binafsi na hawakuwa na lengo la kutwaa uongozi wa kitaifa.
Mkuu hivi vyeo vingine vya Expert Member havina demotion ni promotion tu; kungekuwepo na demotion nadhani watu wengi wangekuwa demoted.Odinga ni mtu hatari kwenye ustawi wa jamii ya kenya. Mtu umeshindwa, umeenda mahakamani umeshindwa. Sasa ameandaa maandano ili tu kuleta taharuki ili aje atake maridhiano yasiyo na kichwa wala miguu kama hapa kwetu. Eti wameruhusiwa mikutano wakati wakijua ni haki yao halafu wanashangilia. Kwa taarifa yao, CCM kuna watu wana akili sana, mpango wa kuzuia mikutano ulikuwa si wa jpm peke yake kama CDM wanavyofikiri, ni mpango wa CC ya ccm na ndiyo mana mwenyekiti hakuweza kutengua mpaka baada ya miaka miwili kupita. Nadhani pia cdm wamepewa masharti wambomoe jpm katika hotuba zao na kamwe asitajwe mama vibaya. Ni kununuliwa kule kule tu. Bado ndani ya chama kuna hofu kuu ya nguvu ya jpm.
Katika jambo ambalo upinzani ungelitumia kwa sasa kupata popular support basi ni kumtaja jpm kwa wema na kuenzi aliyoyafanya, poor them, ama hawajui siasa au, wametanguliza maslahi binafsi na hawakuwa na lengo la kutwaa uongozi wa kitaifa.
Mkuu si unawaona wana andamana kudai Wacho dai? na wasema watafanya hivyo mara mbili kwa wiki mpaka madai yao yapatiwe ufumbuzi. Mkuu wanafanya hivyo kwa mujibu wa Katiba yao.Wakati wa uchaguzi wa jirani na ndugu zetu kuna baadhi ya wenzetu Watanzania walisifu sana kuwa wenzetu wako mbali kidemokrasia tujifunze kutoka kwao lakini kwa yanayoendelea kama mambo yenyewe ya demokrasia yako hivyo ni bora tuendelee na katiba iliyopo na tume ya uchaguzi iliyopo kuliko kuelekea huko waliko wenzetu kwa sasa.
Kwenda zako huko, huu ujinga waambie wajinga wenzako hapo Lumumba. Eti mpango wa cc. Cc hii hii ambayo alilotaka Magu ndio lilikuwa sheria! Mwishoni utadai hata kununua wabunge na madiwani wa upinzani ulikuwa ni mpango wa cc.Odinga ni mtu hatari kwenye ustawi wa jamii ya kenya. Mtu umeshindwa, umeenda mahakamani umeshindwa. Sasa ameandaa maandano ili tu kuleta taharuki ili aje atake maridhiano yasiyo na kichwa wala miguu kama hapa kwetu. Eti wameruhusiwa mikutano wakati wakijua ni haki yao halafu wanashangilia. Kwa taarifa yao, CCM kuna watu wana akili sana, mpango wa kuzuia mikutano ulikuwa si wa jpm peke yake kama CDM wanavyofikiri, ni mpango wa CC ya ccm na ndiyo mana mwenyekiti hakuweza kutengua mpaka baada ya miaka miwili kupita. Nadhani pia cdm wamepewa masharti wambomoe jpm katika hotuba zao na kamwe asitajwe mama vibaya. Ni kununuliwa kule kule tu. Bado ndani ya chama kuna hofu kuu ya nguvu ya jpm.
Katika jambo ambalo upinzani ungelitumia kwa sasa kupata popular support basi ni kumtaja jpm kwa wema na kuenzi aliyoyafanya, poor them, ama hawajui siasa au, wametanguliza maslahi binafsi na hawakuwa na lengo la kutwaa uongozi wa kitaifa.
Matusi ndiyo jadi yenu.Kwenda zako huko, huu ujinga waambie wajinga wenzako hapo Lumumba. Eti mpango wa cc. Cc hii hii ambayo alilotaka Magu ndio lilikuwa sheria! Mwishoni utadai hata kununua wabunge na madiwani wa upinzani ulikuwa ni mpango wa cc.