bila kusahau kua chadema nichama cha kikatoliki kwa 100% uchaguzi uliopita hakuna asiejua kua wafazili wakuu wakampeni za chadema ilikua nimakanisa,na slaa ktk kampeni alikua analala makanisani,na ushahidi tunao hata mbeya swanga na mpanda alilala ktk makanisa ya katoliki,mwenye kubisha abishe nimwage data live hapa,wachen kuwafanya watz wajinga,tumewastukia mlitaka kuibatiza nchi mkishinda ila mungu amewalani,na hamtotawala nchi hii mpk kiama kama mnataka kuitawala kikatoliki.
Kichwani mweupe kabisa,umetoa mawazo mepesi nakusikitikia sana!
Kichwani mweupe kabisa,umetoa mawazo mepesi nakusikitikia sana!