ukizingatia yale yaliotokea baada ya uchaguzi wa viti maalum ambapo chademaa hawakumpa mgombea wetu mwenza wa darasa la saba hata kiti kimoja wakati umewadia wa kuwa na chademaa-zenj na tusiwape mgombea mwenza tena mpaka kieleweke kuhusu mgao wa ndani ya mjengo....ombi langu kwa chadema-zenj kujiengua na chadema-mtei kwani misimamo na malengo yao inahatarisha muungano
hilo umenena mwanangu lakini umechelewa mno cuf imesha pasuka mapande wewe hapo ulipo ni cufMageuzi je cufUdini mtaelewana ambao mbegu hiyo imepandwa na cufUpemba na utawaeleza nini cufCcm wakuelewe mwana ushauri wangu ili tusicheleweshe mabadiliko ambayo yanakuja na lazima yapo basi hamasisha vijana wenzio ambao ni cufmageuzi mjiunge huko CHADEMA haraka vijana mnaitwa kwa nguvu ya TANO A luta continua!
bila kusahau kua chadema nichama cha kikatoliki kwa 100% uchaguzi uliopita hakuna asiejua kua wafazili wakuu wakampeni za chadema ilikua nimakanisa,na slaa ktk kampeni alikua analala makanisani,na ushahidi tunao hata mbeya swanga na mpanda alilala ktk makanisa ya katoliki,mwenye kubisha abishe nimwage data live hapa,wachen kuwafanya watz wajinga,tumewastukia mlitaka kuibatiza nchi mkishinda ila mungu amewalani,na hamtotawala nchi hii mpk kiama kama mnataka kuitawala kikatoliki.
Kichwani mweupe kabisa,umetoa mawazo mepesi nakusikitikia sana!
Haha hii nzuri CHADEMA inawaumiza vichwa muanzisha thread anaongelea CUF CDM inatokea wapi potelea mbali huko usilete ujinga hivi mnadhani hayo mambo yenu munayokuza ya dini yatakuja kuwasaidia kiama kikija cha kidini hakuna atakaye pona mkome kabisa musituharibie nchi yetu
bila kusahau kua chadema nichama cha kikatoliki kwa 100% uchaguzi uliopita hakuna asiejua kua wafazili wakuu wakampeni za chadema ilikua nimakanisa,na slaa ktk kampeni alikua analala makanisani,na ushahidi tunao hata mbeya swanga na mpanda alilala ktk makanisa ya katoliki,mwenye kubisha abishe nimwage data live hapa,wachen kuwafanya watz wajinga,tumewastukia mlitaka kuibatiza nchi mkishinda ila mungu amewalani,na hamtotawala nchi hii mpk kiama kama mnataka kuitawala kikatoliki.
Kichwani mweupe kabisa,umetoa mawazo mepesi nakusikitikia sana!
Nafikiri atakuwa CUF Bara
hilo umenena mwanangu lakini umechelewa mno cuf imesha pasuka mapande wewe hapo ulipo ni cufMageuzi je cufUdini mtaelewana ambao mbegu hiyo imepandwa na cufUpemba na utawaeleza nini cufCcm wakuelewe mwana ushauri wangu ili tusicheleweshe mabadiliko ambayo yanakuja na lazima yapo basi hamasisha vijana wenzio ambao ni cufmageuzi mjiunge huko CHADEMA haraka vijana mnaitwa kwa nguvu ya TANO A luta continua!
......Ndugu yangu wacha uchochezi,si Hekma kutaka kutugawa wana CUF baina ya Tanzania bara na Zanzibar,CUF ni moja na ni chama cha kitaifa,nakushangaa ndugu yangu sana ndugu yangu,au wewe si M-Tanzania?yaelekea umetumwa tu na wala si mawazo yako.Tuachie CUF yetu na viongozi wetu.hatutaki choko choko.