Wakati wamatopeni aka Simba wa maonyesho spot club

Wakati wamatopeni aka Simba wa maonyesho spot club

Si busara kututukana simba kwa sababu ya mafanikio ya Yanga.Hata sisi tulipokuwa vizuri hatukuwaita Yanga hayo majina ya kipuuzi ya Murro.
 
Hakuna anaelia we ulimakafu,Yanga bado sana,mnatoa matusi as if ubingwa wa CAF mtaupata.umevimbiwa unaanza kudai unakitambi!
 
Back
Top Bottom